figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #81
Ukraine waliharibu kifaru cha Urusi aina ya 9K33 Osa. Eti Urusi kulipiza walipua bomu zito makazi ya watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, nlichelewa kuweka thread japo nina Content. Naenda fasta ili niwafikie live. Mungu akipenda baada ya siku nne nitakuwa live. Sikutaka kuanzia katikati. AsanteNaona Ni Story za TBT
mie nilijua Nikwasasa
Warusi wanao uwezo wa kuipiga Ukraine, lakini hawana uwezo wa kuishinda Ukraine. Ndo maana unaona Wameanza kurudi nyuma..Inamaana hakuna warusi kwenye huu Uzi wenye video Kama za figganigga ? Kule kwenye ule Uzi wa live wasitueni waje na Huku kuleta evidence ya picha na video
Ni haki yako kuongea utakacho. Mimi sijasema usemayo. Nikupe video ya Urusi wakiomba msamaha wasiuawe? Unajua nini kiliwakuta? TabiriKwa uzi huu askari na jeshibla Urusi limefukuzwa ktk miji yote ya Ukraine. Wameshindwa vibaya na wamekimbia na Raia wa Urusi wanakimbia nchi yao.[emoji848]
Mkuu, unanisingizia, sijasema hivyo. Nimesema picha na Video za Ukraine waliopo Frontline. Unanilisha maneno.Mkuu omulasil kwa hakika warusi wamezikwa wote. Figganigga na jeshi lake wamewamaliza warusi ukraine ni noma aisee.
Nipe niendelee kuthibitisha kufukuzwa kwa wanajeshi wa Urusi katka miji ya UkraineNi haki yako kuongea utakacho. Mimi sijasema usemayo. Nikupe video ya Urusi wakiomba msamaha wasiuawe? Unajua nini kiliwakuta? Tabiri
Nimekuelewa mkuu figganigga hata kichwa cha uzi kimejitanabaisha vyema. Umejaribu kutuonesha angalau kwa kiasi ambacho waukraine wanafanya. Mwingine ni utani tu.ndio maana kuna mtu kasema ukraine wanatupa vingumi vinavyomgusa adui.Mkuu, unanisingizia, sijasema hivyo. Nimesema picha na Video za Ukraine waliopo Frontline. Unanilisha maneno.
Sio miji yote Warusi wamefika. Sio Nchi Nzima warusi wamefika. Mikoa 8 tu wamefika na wamefanikiwa kuteka mikoa 3 na mmoja wamenyang'anywa. Sema unataka picha za mkoa gani ambazo Warusi wanachinjwa nikupe. Leo kule Odessa, Warusi wamelia machozi ya damu.Nipe niendelee kuthibitisha kufukuzwa kwa wanajeshi wa Urusi katka miji ya Ukraine