Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hapa Magari 16 ya Urusi yaliharibiwa. Hii ni tarehe 13 Machi 2022
20220321_101748.jpg
 
Angalia msafara wa Urusi unavyo shambuliwa
 
Kyiv zilitumika Bayraktar TB2 UCAV Effective combat drone za Ukraine. Zilifanikiwa kuharibu zaidia ya magari ya kijeshi 20 ya Urusi, 5 Howitzers, 2 fuel trains na 6 Air Defence Systems.
 
Jeshi la Ukraine likiharibu Mizinga 3 aina ya T-72 na BMP-3s katika maeneo ua Luhansk
20220321_103353.jpg
 
Mkuu simple tu em na wewe tufungulie hapa uzi tuyaone matango pori ya upande wa pili.
Sikiliza dogo, Russia kafungiwa internet, kwahio huoni mambo ya upande wake kilichobaki ni habari za upande mmoja ila cha moto wanakiona hao NATO na Ukraine
 
Hivi Vifaru vilivyotekwa ni vya Urusi aina ya T-80BVM na T-80Us. Na hilo ni gari la Ugavi la Urusi likiwa limeteketea. Magari haya huwa yanasambaza Silaha na vyakula kwa Wanajeshi.
View attachment 2158712View attachment 2158713View attachment 2158714
Wanajeshi wa Ukraine wa Mji wa Irpin, wakiwa wamebeba M72 EC LAWs. Denmark ndo waliowapa huu msaada wa M72 EC LAWs silaha za kuharibu Vifaru na Magari ya Urusi
View attachment 2158715View attachment 2158716View attachment 2158717
Hivi mtu binafsi anaruhusiwa kusogeza gari kama hili nyumbani kwake vita ikiisha analitumia!?
JamiiForums-2135800439.jpg
 
Salaam Wakuu,

Hii ni Special thread ya Video na Picha kutoka Uwanja wa Mapambano Ukraine kwa Wanajeshi Waliopo Msitari wa Mbele. Hii thread inawahusu timu Ukraine.
View attachment 2158105
View attachment 2157979
Mwanajeshi wa Ukriane akiwa na PG-7VM rockets
View attachment 2157991
View attachment 2158012

Hiki ni kipigo cha kwanza walichokipata Urusi. Misafara wa Urusi Ulikuwa unaelekea Ukraine. Magari yenye Maandishi ya Z ndo ya Urusi. Na Wanajeshi wenye alama ya njano kwenye bega ndo wa Ukraine
View attachment 2158022

NB: Video kama haija vizuri kwenye screen yako, ijaze kwa kuizoom.

Mambo ya vita tena na huku!!
 
2S7 ya Ukraine
 
 
Ukraine iliwapiga ambush Wanajeshi wa Urusi katika Mji wa Bucha ikabidi wakimbie na kutelekeza zana za kivita. wengine wakavaa nguo za kiraia. Walidakwa.
 
Vikosi vya Ukraine vilivamia gafla convoy ya Urusi maeneo ya Luhansk Oblast. Urusi walipoteza vifaru aina ya T-72Bs na Magari mengi. Tatizo la Urusi walijiamini sana wakaja misururu kama siafu, ikawa ni kupigwa Ambushi tu kila baada ya Kilometa kadhaa.
 
Ukraine walikamata kifaru cha Urusi aina ya T-80BV
20220321_175440.jpg
 
Vikosi vya Jeshi la Urusi vilipofika Mkoani Sumy, Vifaru vyao vinne vilikwama kwwnye tope wakati wanafurumushwa. Ikabidi wavitelekeze na Ukraine wakajiokotea🤣
 
Back
Top Bottom