Mnakumbuka wale wanajeshi wqliotuka majuzi kwenye mafunzo Uingereza?
Sasa baada ya kuingia Frontline, Wanajeshi wengi wa Urisi wanakufa. Sasa wanasema ile Battalion ilokuwa mafunzoni ni Magaidi. Sababu wanashabaha sana. Wanaua km 2 hadi nne kabla ya kuwafia.
Urusi wasiporudi kwako, wataisha. Mtawaita majina yote. Sisi tunawaona Makomandoo sababu wanaua Warusi, Urusi inawaona Magaidi🤣🤣🤣