Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Tumekuwa pamoja siku zote na umekuwa ukinitia moyo. Siwezi kucover nchi yote ya Ukraine sababu kila sehemu ni vita. Mtu anaweza akapata taarifa mapema kabla yangu. Hivyo ni vizuri ataje sehemu na muda ili tuweze kuhakiki. Kuna sehemu majeshi ya Ukraine yanazidiwa na Kuretreat, Ila hadi rais aseme. Kwa wiki sasa sijapata taarifa ya Ukraine kuretreat Donetsk ndo maana nikaomba chanzo cha habari ili tuweke kumbukumbu sana. Tangu August hakuna Frontline ya Ukraine imerudi nyuma bali wanaonga mbele. Japo kuna sehemu unakuta kusonga mbele ni mtihani. Mfano Luhansk kuna wiki ilichukua siku 10 kusonga mbele Km 20. Urusi wana Vifaa na nguvu ila hawana akili na hii ndo bahati ya Ukraine.
 
Huyu bwana yupo makini sana - kwa kweli anastahili pongezi. Hii shughuli ni ngum' ati na halafu ni ya hatari sana. Kongole Figganigga.
Pamoja sana. Mfano Mariupol tangu Danny apoteze maisha, kumekuwa giza, hatujui kinachoendelea japo leo tulipata Video za Wanajeshi wa Urusi wakitokea Mariupol kwenda Donetsk kuongeza nguvu
 
Bakhmut hakuna Umeme, maji wala Gesi leo. Ila sio tatizo kwa Frontline.. Mambo yatakaa sawa. Ukraine wakiwa katikati ya Mji jioni ya leo
Line 4 za Frontline, Urusi hawajatoboa hata moja
Your browser is not able to display this video.
 
Ila Warusi wanakufa sana. Kuzunguka Makaburi kutafutwa Mpendwa wako, inabidi utumie gari. Watajua hawajui. Hawa ni mbali na wale wanaobaki maporini
View attachment 2409583
Haya ndio matokeo ya maamuzi ya mwendawazimu mmoja kutaka kujionesha ni mwamba na mbabe.Ametweza roho za waliolala hapo bila sababu za msingi - eti hataki nchi yake iwe karibu au ipakane na nchi yenye influence ya NATO/USA. Mwoga sana huyo jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…