figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #8,501
Hadi raha. Inapendeza sana kuona wananchi wanawatia moyo wanajeshi.Hatimaye jioni ya tarehe 11.11.2022, Batalioni ya Azov wamefika Katikati ya Mji Mkuu wa Kherson na Kupokelewa na Wananchi. Mungu ni Mwema💪. Watu wanalia kwa Furaha
View attachment 2413540
Silaha ambayo imeacha historia ya heshima sana .Hii inaitwa HIMARS. Sasa zimewekwa sehemu nzuri ambayo hata Urusi walipokimbilia inafika
View attachment 2413584View attachment 2413585
Frontline iliyoko direction ya Malynivka ikiweza kutoboa kuja Melitopol, Zaporizhzhia na Kherson yote wanaitema kama nyani kutema bungo. Hiyo itaweza kukata supply ya vifaa vya mrusi kuja Zaporizhzhia na Kherson.Baada ya Kherson, Zaporizhzhia ikae tayari. Wanajeshi wakishaweka Frontline japo Mbili, wanaobaki wanaenda saidia bakhmut huko Donetsk. Hatutawaruhusu Urusi wameze Mate
View attachment 2413574
Kherson hakuna njia tena wala hakuna kinachokuja. Daraja wamebomoa wenyeweFrontline iliyoko direction ya Malynivka ikiweza kutoboa kuja Melitopol, Zaporizhzhia na Kherson yote wanaitema kama nyani kutema bungo. Hiyo itaweza kukata supply ya vifaa vya mrusi kuja Zaporizhzhia na Kherson.
Hii machine hataisàhau mrusi. Imemeza maghala yake mengi na military base zake nyingi. Bila huyu mwamba wasingeitema Kherson kiurahisi hivo.Hii inaitwa HIMARS. Sasa zimewekwa sehemu nzuri ambayo hata Urusi walipokimbilia inafika
View attachment 2413584View attachment 2413585