figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #8,481
Sijui wanaficha wapi sura zao. Sijui wqtatuambia nini. Kwa ufupi ni Mikoa yote inarudi. SifutiPro Russia hawana hamu hizi siku mbili. Eti walishaanza kusema Kherson ni Urusi. Sijui sasa watasemaje, kwa akili yao watasema ukraine imevamia Kherson. 😂😂😂