figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #8,601
Sasa watafanya vitu vile ambavyo wamekubaliana kwa pamoja au vile vitu roho binafsi inavitaka alimradi haviendi kinyume na matakwa ya wenzako au sio vinavyokinzana na Taratibu mlizojiwekea.walikuwa kwenye utawala wa kijeshi under Russia. Sasa wako huru, walilazimishwa kufanya vitu ambavyo hawataki.
Hilo tuwaachie wazee wa HIMARS waliamulie; lakini kiukweli ni kwamba Mrussi hapo alipo tayari keshapata kipanda uso, suruali hazienei tena kiunoni-wote ni mlegezo mtindo mmoja. Anaswagwa kama mbuzi goigoi anayepelekwa mnadani. 😁Ikitokea warusi wakalipua HIMARS moja tu, hatutalala Siku hiyo kwa jinsi ambavyo pro Russia watapiga propaganda. Warusi wanatamani wateke hata HIMARS moja tu waitumie.
Kama HIMARS zote kumi na sita (16) na M270 kumi (10) bado zinapiga mzigo, maana yake Russia kashindwa kuzi detect zilipo.
Sasa kama zimesogea karibu na Crimea hilo daraja halitabutuliwa kweli.
Kwa maana hiyo, Sasa Mrussi kwisha habari yake siyo?Ungetazama Zhuhai Airshow 2022 inayoisha kesho ungeona progress ya Wachina. Russia hampigi Mchina kwa sasa, hana uwezo huo
Watasema nia yao ni nini:- Hawataki kurudi Urussi auKuna Warusi waliamua kujichanganya na Raia wa Kherson. Sasa leo wameanza kuwachomoa mtaani. Bora Warusi wajisalimishe. Huyu sijui kapelekwa wapi.
View attachment 2414596
Hahahaaa; Hata gwanda limekuwa ni mzigo-Jamaa cjui ametimua mbio na boxer tu au aliwahi kuvaa kiraia. Just imagine mzigo wote huo walengwa na wadau wa moto utokanao nayo ni Wana wa Ukraine. Inasikitisha sana.Urusi waliukimbia mzigo
View attachment 2414620
Shujaa, mpambanaji anayafurahia mema ya nchi yake baada ya kazi nzito ya kumng'oa nduli.
Dah! Wanapasua raha katika msitu wa huzuni na simanzi kwani wapo walioondokewa na wapendwa wao na uharibifu mkubwa uliofanyika bado ukingalipo unaonekana wazi machoni. Lakini wanayo kila sababu ya kufurahi kwa vifijo na nderemo kwa kuwa wamevipiga vita kwa ujasiri mkubwa na mwendo wameumaliza. Sasa ni kuamka na kuvaa mavazi na mataji ya ushindi na furaha kuu. Adui amebwagwa chini na kutokomezwa mbali kabisa. Mungu ibariki Ukraine.