Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Mwanafunzi wa Zambia - ambaye alikuwa akitumikia kifungo nchini Urusi - aliuawa kwenye mstari wa mbele nchini Ukraine katika mazingira yasiyoeleweka, waziri wa mambo ya nje wa Zambia ameambia kikao cha wanahabari katika mji mkuu Lusaka.

Lemekhani Nyirenda, 23, alikuwa akisomea uhandisi wa nyuklia katika Taasisi ya Fizikia ya Uhandisi ya Moscow, lakini mnamo 2020 alihukumiwa kifungo cha miaka tisa jela kwa kosa ambalo halikutajwa. Atakuwa alikutanana Azov

 
Supa pawa wa kuunga unga mwana. Mpaka wanafunzi[emoji1][emoji1][emoji1]

Russia ni hopeless
 
Hiki kikosi kinaitwa Special Purpose Regiment Safari. Kimekatiza mto Dnipro kuwafuata Urusi walipokimbilia. Hawajaenda na kifaru hata kimoja, wamesema watavikuta huko kwani watawanyang'anya Urusi
Your browser is not able to display this video.
 
Rais wa Marekani Joe Biden, amekataa kufanya mashauriano na Urusi bila Ukraine kishirikishwa. Urusi iliomba Marekani iingilie kati ili kufanikisha mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi
View attachment 2417165
Hahahaa. Putin kazi anayo. Wanamkataa kwa sababu ananuka damu za waUkraine wasio na hatia alowauwa kikatili na kuchukua ardhi yao kibabe. Sasa anatapatapa na kuzunguka huku na huko na libarua lake la maombi mkononi.Wanamtaka sharti akanawe kwanza(akatawaze) awe na udhu ili aweze kuketi na waungwana mezani.
 
Hiki kikosi kinaitwa Special Purpose Regiment Safari. Kimekatiza mto Dnipro kuwafuata Urusi walipokimbilia. Hawajaenda na kifaru hata kimoja, wamesema watavikuta huko kwani watawanyang'anya Urusi
View attachment 2417198
Hakika Mrussi sasa anaonja joto ya jiwe. Anajuta kuivamia Ukraine. Ni aibu sana kwa Mbabe, Komandoo na Superpower kukimbizwa kama mwizi(kibaka).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…