figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #881
Wewe unaejua sema sasa tukusikieMsiojua propaganda mtakula saana matango pori
Waziri wa ulinzi wa Uingereza juzi ametoa hiyo taalifa.Samahan I lakini majina yake hawakuwekaMkuu haya magari ni aina gani au ni Jackal? Yameingia lini Ukraine? Sababu huu mzigo mpya hatujauona. Naamini hivi karibuni tutaanza kuona Magari aina ya Mastiff MRAP ndani ya Donbass
Mambo Bado magumu kwa WarusiUkureine anaendelea kutoa kipigo kwa wavamiziView attachment 2185080
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa walibanwa. Urusi waliwazingira ikiwa hamna mtu kutoka wala kuingia. Risasi zikawaishia na chakula kikaisha. Hawa jamaa watakuwa Makomando. Sasa tunaanza upyaaaa..Hii ndo habari ya muda huu kutoka uwanja wa vitaView attachment 2185310
Sent using Jamii Forums mobile app