Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Poland wanatafuta Vifaru vyao vya kisasa zaidi ya 100 ambavyo Vimepotea kwenye Stoo yao. Vifaru hivyo 100 vilivyo potea hivi karibuni, Wananchi wanadai Waliona Vifaru na Magari ya Jeshi yakielekea Mashariki mpakani mwa Poland na Ukraine 🤣
 
Dogo kachelewa hadi ndege ya Urusi ikasepa. Hii ambushi ilikuwa ya kufa mtu. Ila video imenichekesha sana japo ni Vita🤣
Your browser is not able to display this video.
 
Jeshi la Ukraine limekamata gari auna ya 9P140 MRL (For the 220mm BM-27 Uragan system) la Urusi, inapelekwa Gereji then inarudi Uwanjani
 
Kifaru cha Urusi aina ya PPRU-1(M) mobile air target acquisition radar na command center vya Urusi, viliharibiwa mjini Yahidne, Mkoani Chernihiv kwa pembeni kuna magari ya Ugavi mawili yameteketezwa pia.
 
Ukraine wanawake wanaenda Msitari wa mbele, Putin atapona kweli? Askari aliyopo frontline anachagua moja. Kufa au kupona
 
Kifaru cha Urusi aina ya BMP-2. Wakuu picha zinatoka Mashariki mwa Ukraine
 
Vifaru vya Urusi vikikamatwa hii ndo geteji. Vinafuta nembo ya Z na kufanyiwa ukarabati vinarudi mzigoni
Your browser is not able to display this video.
 
Angalia Drone ya Ukraine inavyo haribu Vifaru vya Urusi
Your browser is not able to display this video.
 
Askari wa kujitolea wa Belarus anayekipiga Ukraine. Anasema ushindi ni kwa Ukraine, hamna kizuizi
Your browser is not able to display this video.
 
Warusi washaanza kupata vidonge vyao
Your browser is not able to display this video.
 
Dawa kwa Urusi
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…