Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

20221125_210107.png
 
Hapa ni Bakhmut. Wakishatangulia wapelelezi na askari wa Miguu ndo Vifaru na zana nzito zinafuata. Unapoona kifaru, jua pembeni kuna wapambe wanakilinda. Wengine wanakaa hata juu ya Kifaru
 
Hapa ni Bakhmut, Mkoani Donetsk. Urusi wamelia na kusaga meno.. Drones zimewashughulikia hadi wakaomba Msamaha lakini hawajasamehewa. 🤣🤣🤣🤣
View attachment 2427934
Kikosi cha Drones huwa kinanipa raha sana. Kila mtu anauguliwa kivyake hakuna kuuguzana.

Mbaya zaidi Drone zinawapiga kwenye makende, ndiyo maana kila anayepigwa lazima ajikunje kama jongoo. 😂😂😂

Urusi inabidi ilete watu wenye mabusha, ili hata Drones zikiwapiga ziishie kumwaga urojo tu, huku yeye akiendelea kudunda. 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom