figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #9,181
Slava Ukraine [emoji1255]
Kikosi cha Drones huwa kinanipa raha sana. Kila mtu anauguliwa kivyake hakuna kuuguzana.Hapa ni Bakhmut, Mkoani Donetsk. Urusi wamelia na kusaga meno.. Drones zimewashughulikia hadi wakaomba Msamaha lakini hawajasamehewa. π€£π€£π€£π€£
View attachment 2427934