Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Huma uelewa wowote ule kuhusu chanzo cha mgogoro wa
Empty brain. You know nothing about this war.

Hiyo ya empty brain kaanze kwanza kumwambia baba yako aliyekuzaa halafu pia na mama yako mzazi...majibu yao njoo utupatie mrejesho hapo...
 
Huma uelewa wowote ule kuhusu chanzo cha mgogoro wa


Hiyo ya empty brain kaanze kwanza kumwambia baba yako aliyekuzaa halafu pia na mama yako mzazi...majibu yao njoo utupatie mrejesho hapo...
Khe! Kumbe ww ndo wa hivyo?. Nimekuelewa mkuu.
 
Khe! Kumbe ww ndo wa hivyo?. Nimekuelewa mkuu.
Utaelewa mengi zaidi ya hayo kutoka kwa wakubwa...Usitumie lugha ya kejeli, dharau na matusi...ukifanya hivyo ueanze kwanza kuwaambia wazazi waliokuleta duniani ndipo kama lugha uliyotumia ni sahihi au siyo...Waambie wazazi wako baba wewe ni empty head...mama nawe pia ni empty head...reaction ya wazazi wako ndiyo itakayokufundisha...
 
Asante mkuu. Nitazingatia.
 
Thibitisha kwamba Ukraine alitaka ivamia Russia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…