figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #961
Hapa ni Wilayani Nizhyn Mkoani Chernihiv. Warusi wamekimbia Vifaru vyao. Ni baada ya kupelekewa Moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa taalifaHawa Jamaa Walizungukwa. Risasi zikawaishia, Chakula kikawaishia wakatiwa Mawasiliano na Maji mjini Mariupol. Katika kujinasua, ikabidi wachache wajisalimishe wengine waweze kutoroka. Walitoka kwa Njia nne. Vikosi vitatu vilifanikiwa kutoroka, kimoja kilikamatwa kwenye Mtego. Hakuna aliyeuawa. Hawafiki 1000. Ni kati ya 50 na 70.
Wataachiwa. Hii ndo faida ya Mateka kwani mnabadilishana.
Kwa maneno haya nakuamini kwanzia leoHawa Jamaa Walizungukwa. Risasi zikawaishia, Chakula kikawaishia wakatiwa Mawasiliano na Maji mjini Mariupol. Katika kujinasua, ikabidi wachache wajisalimishe wengine waweze kutoroka. Walitoka kwa Njia nne. Vikosi vitatu vilifanikiwa kutoroka, kimoja kilikamatwa kwenye Mtego. Hakuna aliyeuawa. Hawafiki 1000. Ni kati ya 50 na 70.
Wataachiwa. Hii ndo faida ya Mateka kwani mnabadilishana.