Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Ukraine wakiwa wameitungua Mi-35M attack helkopta RF-13017. Ilikuwa tarehe 08 Machi 2022.
Your browser is not able to display this video.
 
Kundi la Wanajeshi wa Urusi wakiwa wametekwa nyara Mkoani Mykolaiv. Wengine wanadai wameshapewa dawa waliyokuwa wanaitafuta Ukraine. Ilikuwa tarehe 08 Machi 2022
Your browser is not able to display this video.
 
Waziri wa Ulinzi wa zamani wa Georgia Irakli Okruashvili, akiwa Uwanja wa Vita kuwasaidia Wanajeshi wa Ukraine. Pia kuna Wanajeshi wa kujitolea kutokea Nchi ya Canada.
 
Azov Special Operations Detachment(SOD) Wakifanya yao.. Tarehe 08 Machi 2022. Urusi walikunywa dawa watu Wanajeshi wengi waliopo Ukraine.
 
Hii Video ni ya Kifaru cha Urusi aina BMD-2 kikiwa kimeharibiwa maeneo ya Kherson Oblast.
Your browser is not able to display this video.
 
Hivi Vifaru vilivyotekwa ni vya Urusi aina ya T-80BVM na T-80Us. Na hilo ni gari la Ugavi la Urusi likiwa limeteketea. Magari haya huwa yanasambaza Silaha na vyakula kwa Wanajeshi.

Wanajeshi wa Ukraine wa Mji wa Irpin, wakiwa wamebeba M72 EC LAWs. Denmark ndo waliowapa huu msaada wa M72 EC LAWs silaha za kuharibu Vifaru na Magari ya Urusi
 
Tarehe 09 Machi hali haikuwa nzuri kwetu. Tuliishia kuteka 9K33 Osa. The 9K33 Osa is a highly mobile, low-altitude, short-range tactical surface-to-air missile. Hii Osa Ukraine waliiharibu kwa Mizinga.

Na kifaru cha BTR-80.
Your browser is not able to display this video.
 
Tarehe 09 Machi tulizidiwa Mbinu. Hawa Warusi walifanikiwa kuteka kifaru cha Ukraine aina BTR-4 Mkaoni Kharkiv.

Na hili shimo ni bomu la Urusi lilitua hapa kwenye makazi ya watu
 
Hili bomu lilitua Donbass ila halikulipuka.. So hapa Wanajeshi wa Ukraine wanaliharibu kabla ya kulipuka. Wanafanya Defuzing. Hii ni aina ya OFZAB-500. Haya ni mabomu hatari sana.

OFZAB-500 Aircraft Bomb. This is the Russian OFZAB-500 (ОФЗАБ-500), a low-drag, high-speed, low-level, incendiary bomb with additional high-explosive (HE) fragmentation effect for use against troops and vulnerable material in the field, stores and fuel depots.
Your browser is not able to display this video.
 
Upuuzi mtupu umeajiliwa na mabeberu, mtu mwenye akili timamu hawezi kukuelewa na propaganda za ajabu

Stand with Russian.

Acha wapigwe mbn upande wa pili uonyeshi.
 
Tarehe 10 Machi 2022, Urusi walitandikwa haswa. Hapa walitelekeza kifauru aina ya APC. Kazi yake ni kusafirisha wanajeshi uwanja wa Mapambano.
Your browser is not able to display this video.
 
Mabaki ya ndege ya Urusi SU-27 iliyodondoshwa tarehe 10 Machi 2022. ilikuwa inakatiza mji wa Kiyv.

Na hiki ni kifaru cha Urusi kilitelekezwa baada ya kuzama kwenye tope.

 
Upuuzi mtupu umeajiliwa na mabeberu, mtu mwenye akili timamu hawezi kukuelewa na propaganda za ajabu

Stand with Russian.

Acha wapigwe mbn upande wa pili uonyeshi.
Upande wa pili anzisha thread yako na utuoneshe wewe. Mimi sipo huko. Just niulize upande wa Ukraine. Unataka nikuoneshe Wanajeshi wenu wa Urusi wanavyochinjwa? Au nikuoneshe wanavyopigiliwa Msumari kichwani? Chagua. Mlisema Mtaiteka Kyiv ndani ya siku 3. Sasa unakaribia mwezi. Mnakwama wapi? Hata Kharkiv mumeshindwa kuiteka🤣🤣

Kawafufue nduguzo hawa. Hawa tuliwapa dawa Kharkiv Kaskazini halafu tukawalaza kwa umbo la "Z".

Nambie, bado unaka kuona mizoga ya ndugu zako?

Niache nipost Frontline ya Ukraine.
Your browser is not able to display this video.
 
Kifaru aina ya T72B1 karibu na mji wa Sumy. Ilikuwa tarehe 10 Machi 2022
Your browser is not able to display this video.
 
Hii video imechululiwa kwenye side mirror wakati Ukraine wakiwafurumishia makombora Urusi.. Ni faya...!
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…