Huyu bwana taarifa zinasema aliuawa ama sio huyuMdunguaji au Mlenga shabaha maarufu wa Canana(elite sniper) huwa anajiita "Wali" akiwa uwanja wa Vita sambamba na Jeshi la Ukraine. Ilikuwa tarehe 08 Machi 2022
View attachment 2158701
Uliziokota wapi hizo taarifa Mkuu. Afe halafu awe Frontline tena? Umenichanganya. Sijapata taarifa za kifo chake.Huyu bwana taarifa zinasema aliuawa ama sio huyu
Upande wa pili anzisha thread yako na utuoneshe wewe. Mimi sipo huko. Just niulize upande wa Ukraine. Unataka nikuoneshe Wanajeshi wenu wa Urusi wanavyochinjwa? Au nikuoneshe wanavyopigiliwa Msumari kichwani? Chagua. Mlisema Mtaiteka Kyiv ndani ya siku 3. Sasa unakaribia mwezi. Mnakwama wapi? Hata Kharkiv mumeshindwa kuiteka🤣🤣Upuuzi mtupu umeajiliwa na mabeberu, mtu mwenye akili timamu hawezi kukuelewa na propaganda za ajabu
Stand with Russian.
Acha wapigwe mbn upande wa pili uonyeshi.