Anatia huruma kijana wa watu. Lakini si alijua kwamba kwa kuja kwake Ukraine ni kitu gani kinachoweza kumpata??? sasa analia nini?. Pambafu! piga.🔨🔨💪Sasa huyu Mrusi analia, nani kamleta Ukraine? Kasikia sauti, "Piga risasi huyo tuondoke" eti akaanza kulia🤣🤣
View attachment 2469453
Nadhani hapo ndo wazee wa HIMARS walipokinukisha Makiivka.
Wameketi kwa starehe zao wakisubiri Hatima yao. 🙄 🙄
Yaani belarus kachanga karata zake vibaya kumuamin huyo kubwa jingaKiwanda cha Matrekta kinawaka moto huko Belarus
View attachment 2469897
Wahenga walisemaga "Mchuma janga hula na wakwao" Kubwa jinga kalianzisha msala(janga), Belarus akajitiamo sasa anaumia bila sababu za msingi. 🙄Yaani belarus kachanga karata zake vibaya kumuamin huyo kubwa jinga
Hahahaaa!! Kaweka pozi
Slava Ukraine [emoji1255]Frontline wa Ukraine wakiwa huko Bakhmut.
View attachment 2469934
Ukweli mobilized wamepelekwa kufa tu Ukraine.
Hilo nalo neno.Hahahaaa!! Kaweka pozi
Huyo mzee wa kwanza hapo ni kama anamwuliza Mungu wake nini kilichompeleka Ukraine akafe bure hapati majibu yan. 🙄 🙄Ukweli mobilized wamepelekwa kufa tu Ukraine.
Na je, utasemaje kuhusu yaliyojiri huko barracks ya Makiivka usiku wa kuamkia mwaka 2023? hapo itakuwa imeharibiwa vizuri sana au nayo ni mojawapo ya vivideo uchwara? Jitahidi kuwa mkweli katika nafsi yako na punguza ushabiki wa ki-adolescence.Endeleeni tu kijifariji na vivideo uchwara ukweli ni kwamba Ukraine imeharibiwa vibaya sana..