Anzisha propaganda yakoMm bado cjaelewa point ya hii mada, kwahy Ukraine wanashirikiana kuharibu nchi yao kwa kuwapiga Russia ndani ya nchi yao wenyewe.? Kwann wasitume makombora au wanajeshi kwenda Russia wapiganie huko kwenye ardhi ya Russia.?
Mwizi kaingia kwako akiwa na shoka anataka apambane akupole nyumba yako, we ukanyanyua nondo ukairusha ikampiga halafu ikaenda kuangukia kabati la kioo likavunjikaMm bado cjaelewa point ya hii mada, kwahy Ukraine wanashirikiana kuharibu nchi yao kwa kuwapiga Russia ndani ya nchi yao wenyewe.? Kwann wasitume makombora au wanajeshi kwenda Russia wapiganie huko kwenye ardhi ya Russia.?
Nmekuelewa, sasa hv teknolojia ya kivita imekuwa sana wakati unampiga adui ukiwa kwako pia unaweza kumpiga huko kwake mana kwake ndipo kwenye kiini ya vita, mfano Ukraine wakat anapigana na Russia akiwa nyumbani anaweza pia kutuma kombora kulipua Ikulu ya Russia ambako ndipo penye kiini cha vitaMwizi kaingia kwako akiwa na shoka anataka apambane akupole nyumba yako, we ukanyanyua nondo ukairusha ikampiga halafu ikaenda kuangukia kabati la kioo likavunjika
Halafu anakuja mtu anakuambia umefanya jambo la kijinga kuharibu samani za nyumba yako kwa kuhangaika kujilinda dhidi ya mwizi wakati ungeweza kumfata kwake na hiyo nondo ukampigia huko kuliko kumpigia sebuleni kwako ukaendelea kuharibu mali zako mwenyewe
Sasa hiyo si mpaka uwe umehakikisha hapo nyumbani umewadhibiti?Nmekuelewa, sasa hv teknolojia ya kivita imekuwa sana wakati unampiga adui ukiwa kwako pia unaweza kumpiga huko kwake mana kwake ndipo kwenye kiini ya vita, mfano Ukraine wakat anapigana na Russia akiwa nyumbani anaweza pia kutuma kombora kulipua Ikulu ya Russia ambako ndipo penye kiini cha vita
Bc mtu akija kwenye huu uzi bila kujua kinachoendelea huko duniani anaweza kudhani Ukraine anamuwashia moto wa ajabu Russia kumbe sio.Sasa hiyo si mpaka uwe umehakikisha hapo nyumbani umewadhibiti?
Nyumbani hujaweza kuwadhibiti halafu unataka kwenda kwao utawezaje?
Ukraine mbona kapigika sana na hilo liko wazi kwa kila mtu ambaye ana access ya mitandao ya kijamiiBc mtu akija kwenye huu uzi bila kujua kinachoendelea huko duniani anaweza kudhani Ukraine anamuwashia moto wa ajabu Russia kumbe sio.
Yap hii ndo point niliyokuwa naitaka.Huu ni uzi ulio chagua kuongelea ya upande mmoja wa mazuri kuhusu Ukraine
Ni kweli kwani ni hili jambo limefanyika kwa siri? mbona hata title tu inaoneshaYap hii ndo point niliyokuwa naitaka.
inatakiwa mtu ukija kwenye huu uzi bc ufahamu kabisa huu ni uzi wa team Ukraine hvy mambo ya ki-Russia aweke pembeni.
Nme kupendekeza uwe chawa wa Russia kumpa sapoti ili tupime mizani 😁😁Ni kweli kwani ni hili jambo limefanyika kwa siri? mbona hata title tu inaonesha
Russia naye ana mengi mazuri ya kuelezewa kwenye hii vita ila kwa bahati mbaya wapambe wake wamekuwa nyuma sana kumsaport
Ofsa mi sina upande kwenye hii vita mi nachangia mada kulingana na tukio husika na kwa mujibu wa data zilizowekwaNme kupendekeza uwe chawa wa Russia kumpa sapoti ili tupime mizani 😁😁