figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #10,621
Kama ni kweli watakuwa wamefanya jambo zuri sana. Kwa kuanzia 80 si haba.Nchi za Ulaya zimekubali kutoa vifaru 80 aina Leopard kwajili ya battalions, 2 ambapo kila moja itakuwa na vifaru 40
View attachment 2495355
Wagner group wajiandae kwa shughuli.Naona Matakwa ya Ukriane yetimizwa. Sasa USA kutoa Abrams M1 MBTs. Urusi wamekwisha
View attachment 2495606
Wakiwapa na Mraps za kutosha itapendeza zaidi.High Mobility Multipurpose Wheeled Vehicle (HMMWV) yaliyopelekwa Ukriane ni haya. Kumbuka haya magari yana engne ya V8 turbo diesel 6.5 L.
View attachment 2495204View attachment 2495205View attachment 2495206View attachment 2495207View attachment 2495208View attachment 2495209
Duu mzigo ukifika wote watakuwa wamepata vifaru 150 vya Leopard ambayo ni nusu ya mahitajiMzigo wa Vifaru aina ya MBT(Main battle tank) ambao umefika Ukraine. Hispania imejitahidi sana..
🇩🇪 14x Leopard 2A6
🇵🇱 14x Leopard 2 (A5?)
🇪🇸 53x Leopard 2A4
🇵🇹 4x Leopard 2A6
🇬🇧 14x Challenger 2
🇺🇸 31x Abrams M1A1
🇳🇴 up to 8x Leopard 2A4NO
Mzigo unaosubiriwa:
🇸🇪 14x Leopard 2A5
🇳🇱 14x Leopard 2 (A5?)
🇫🇮 10x Leopard (A5?)
🇩🇰6 Leopard 2A5
Ni nchi gani inayotoa vifaru 53. Bendera imenichengaMzigo wa Vifaru aina ya MBT(Main battle tank) ambao umefika Ukraine. Hispania imejitahidi sana..
🇩🇪 14x Leopard 2A6
🇵🇱 14x Leopard 2 (A5?)
🇪🇸 53x Leopard 2A4
🇵🇹 4x Leopard 2A6
🇬🇧 14x Challenger 2
🇺🇸 31x Abrams M1A1
🇳🇴 up to 8x Leopard 2A4NO
Mzigo unaosubiriwa:
🇸🇪 14x Leopard 2A5
🇳🇱 14x Leopard 2 (A5?)
🇫🇮 10x Leopard (A5?)
🇩🇰6 Leopard 2A5
UhispaniaNi nchi gani inayotoa vifaru 53. Bendera imenichenga
Jagajagaaa, bwangabuuuu 😂😂😂Mzee wa jagajagaaa
View attachment 2495651
Safi sana 👏👏👏👏Uhispania
Sawa kabisa...Siwaelewi mnachobishania. Je ni neno "Tank", "Howitzer", au "self-propelled"
Naombeni mjisomee muyaelewe hayo maneno ili msiendelee kubishana na kuonyesha watu nani haelewi na nani yuko sahihi.
Kwa uelewa wangu mnazungumzia kitu kile kile ina mnashindwa kuelewa maana ya howitzer na self-propelled.
Anayesema PzH 2000 ni self-propelled Howitzer yuko sahihi.
Anayesema PzH 2000 ni kifaru (tank) naye yuko sahihi.
Aina ya mtutu na trajectory angle uliofungwa juu ya truck ndo ina determine kama ni Gun, mortor, Howitzer au artillery.
Tuendelee kujifunza, na kubishana ni njia nzuri ya kujifunza ili mradi hatukwazani.
[emoji23][emoji23][emoji23] hivi hiyo jagajagaa anakuwa na maana gani huwa ananifurahisha sanaMzee wa jagajagaaa
View attachment 2495651
Ni neno linalotumia kihisia zaidi. Kitu kikiondoka kwenye uhalisia wake (Disorderly) kimekuwa jaga. Mfano mtu akisema nyang'anyang'a maana yake hicho kitu kimeharibika au kuteketea hakiko kwenye uhalisia wake. Ki ukrainian neno jaga jaga ni kama nyang'anyang'a kwa kiswahili. Ni kama Lipumba alivyokuwa anatumia neno Ndembwedembwe kwenye siasa. Ni maneno yanayotamkwa kuwakilisha hisia ya hali fulani.[emoji23][emoji23][emoji23] hivi hiyo jagajagaa anakuwa na maana gani huwa ananifurahisha sana
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Mkuu mimi Siwezi kujua mambo yote. Ila idadi ya Wavamizi Warusi walokufa, naweza kupata kila siku. Wali alipopata likizo hakurudi. Hivyo siwezi kujua anaendeleaje sababu sina taarifa zake. Warusi wanakufa wengi. Zamani Urusi walikuwa wanatoa taarifa sasa hivi hawafanyi. Hivyo tunahesabu mizoga na kutoa idadi ila ni zaidi ya hao. Sababu wengine unakuta mizoga imekaa zaidi ya miezi miwili. So takwimu za Ukraine zinajikita kwenye mizoga ilokusanywa sio wale majeruhi walokufa hospital za Urusi.Mkuu Figganigga vipi yule sniper wetu Wali anaendeleaje.Pia tunaomba uwe unatuwekea idadi ya askari wa urusi waliokwishakufa na kijeluhiwa kama zamani ulivokua unafanya.Hongera Kwa kuendelea kuletea updates stay blessed.
Pia hata Ukraine wana propaganda sio kila kitu wanachosema ni sahihi. Mfano kombora lilitua Poland wakasema ni Urusi lakini ukweli ilikuwa ni Ukriane ndo maana iliisha kimya kimya. Sio kila habari napost hadi nijihakikishie kwani kuna connection ya watu wengi frontline japo washikaji wengi kama Dany na wengine nane walikufa kule Mariupol. Tangu wafe niliteteleka sana kupata habari sahihi. Ila sasa tupo sawa. Uliza swali. Mimi ni Timu AzovMkuu Figganigga vipi yule sniper wetu Wali anaendeleaje.Pia tunaomba uwe unatuwekea idadi ya askari wa urusi waliokwishakufa na kijeluhiwa kama zamani ulivokua unafanya.Hongera Kwa kuendelea kuletea updates stay blessed.
Mkuu Figganigga vipi yule sniper wetu Wali anaendeleaje.Pia tunaomba uwe unatuwekea idadi ya askari wa urusi waliokwishakufa na kijeluhiwa kama zamani ulivokua unafanya.Hongera Kwa kuendelea kuletea updates stay blessed.