Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Mzigo wa Vifaru aina ya MBT(Main battle tank) ambao umefika Ukraine. Hispania imejitahidi sana..

๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช 14x Leopard 2A6
๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ฑ 14x Leopard 2 (A5?)
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ 53x Leopard 2A4
๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น 4x Leopard 2A6
๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง 14x Challenger 2
๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ 31x Abrams M1A1
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ด up to 8x Leopard 2A4NO

Mzigo unaosubiriwa:

๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ช 14x Leopard 2A5
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ 14x Leopard 2 (A5?)
๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ฎ 10x Leopard (A5?)
๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฐ6 Leopard 2A5
 
Ujerumani imeanza kusafirisha air defense systems kwenda Poland.
20230125_211214.jpg
20230125_211201.jpg
 
Mzigo wa Vifaru aina ya MBT(Main battle tank) ambao umefika Ukraine. Hispania imejitahidi sana..

๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช 14x Leopard 2A6
๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ฑ 14x Leopard 2 (A5?)
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ 53x Leopard 2A4
๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น 4x Leopard 2A6
๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง 14x Challenger 2
๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ 31x Abrams M1A1
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ด up to 8x Leopard 2A4NO

Mzigo unaosubiriwa:

๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ช 14x Leopard 2A5
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ 14x Leopard 2 (A5?)
๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ฎ 10x Leopard (A5?)
๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฐ6 Leopard 2A5
Duu mzigo ukifika wote watakuwa wamepata vifaru 150 vya Leopard ambayo ni nusu ya mahitaji
Mzigo wa Vifaru aina ya MBT(Main battle tank) ambao umefika Ukraine. Hispania imejitahidi sana..

๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช 14x Leopard 2A6
๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ฑ 14x Leopard 2 (A5?)
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ 53x Leopard 2A4
๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น 4x Leopard 2A6
๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง 14x Challenger 2
๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ 31x Abrams M1A1
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ด up to 8x Leopard 2A4NO

Mzigo unaosubiriwa:

๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ช 14x Leopard 2A5
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ 14x Leopard 2 (A5?)
๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ฎ 10x Leopard (A5?)
๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฐ6 Leopard 2A5
Ni nchi gani inayotoa vifaru 53. Bendera imenichenga
 
Siwaelewi mnachobishania. Je ni neno "Tank", "Howitzer", au "self-propelled"

Naombeni mjisomee muyaelewe hayo maneno ili msiendelee kubishana na kuonyesha watu nani haelewi na nani yuko sahihi.

Kwa uelewa wangu mnazungumzia kitu kile kile ina mnashindwa kuelewa maana ya howitzer na self-propelled.

Anayesema PzH 2000 ni self-propelled Howitzer yuko sahihi.
Anayesema PzH 2000 ni kifaru (tank) naye yuko sahihi.

Aina ya mtutu na trajectory angle uliofungwa juu ya truck ndo ina determine kama ni Gun, mortor, Howitzer au artillery.

Tuendelee kujifunza, na kubishana ni njia nzuri ya kujifunza ili mradi hatukwazani.
Sawa kabisa...

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hivi hiyo jagajagaa anakuwa na maana gani huwa ananifurahisha sana

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Ni neno linalotumia kihisia zaidi. Kitu kikiondoka kwenye uhalisia wake (Disorderly) kimekuwa jaga. Mfano mtu akisema nyang'anyang'a maana yake hicho kitu kimeharibika au kuteketea hakiko kwenye uhalisia wake. Ki ukrainian neno jaga jaga ni kama nyang'anyang'a kwa kiswahili. Ni kama Lipumba alivyokuwa anatumia neno Ndembwedembwe kwenye siasa. Ni maneno yanayotamkwa kuwakilisha hisia ya hali fulani.

Wataalam ya kiswahili wanaweza kuelezea zaidi.

Kiufupi JAGA JAGA ni sawa na Nyang'anyang'a
 
Mkuu Figganigga vipi yule sniper wetu Wali anaendeleaje.Pia tunaomba uwe unatuwekea idadi ya askari wa urusi waliokwishakufa na kijeluhiwa kama zamani ulivokua unafanya.Hongera Kwa kuendelea kuletea updates stay blessed.
 
Mkuu Figganigga vipi yule sniper wetu Wali anaendeleaje.Pia tunaomba uwe unatuwekea idadi ya askari wa urusi waliokwishakufa na kijeluhiwa kama zamani ulivokua unafanya.Hongera Kwa kuendelea kuletea updates stay blessed.
Mkuu mimi Siwezi kujua mambo yote. Ila idadi ya Wavamizi Warusi walokufa, naweza kupata kila siku. Wali alipopata likizo hakurudi. Hivyo siwezi kujua anaendeleaje sababu sina taarifa zake. Warusi wanakufa wengi. Zamani Urusi walikuwa wanatoa taarifa sasa hivi hawafanyi. Hivyo tunahesabu mizoga na kutoa idadi ila ni zaidi ya hao. Sababu wengine unakuta mizoga imekaa zaidi ya miezi miwili. So takwimu za Ukraine zinajikita kwenye mizoga ilokusanywa sio wale majeruhi walokufa hospital za Urusi.
 
Mkuu Figganigga vipi yule sniper wetu Wali anaendeleaje.Pia tunaomba uwe unatuwekea idadi ya askari wa urusi waliokwishakufa na kijeluhiwa kama zamani ulivokua unafanya.Hongera Kwa kuendelea kuletea updates stay blessed.
Pia hata Ukraine wana propaganda sio kila kitu wanachosema ni sahihi. Mfano kombora lilitua Poland wakasema ni Urusi lakini ukweli ilikuwa ni Ukriane ndo maana iliisha kimya kimya. Sio kila habari napost hadi nijihakikishie kwani kuna connection ya watu wengi frontline japo washikaji wengi kama Dany na wengine nane walikufa kule Mariupol. Tangu wafe niliteteleka sana kupata habari sahihi. Ila sasa tupo sawa. Uliza swali. Mimi ni Timu Azov
 
Back
Top Bottom