Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Nimeona BBC world Zele anapokelewa kwa shangwe na kuahidiwa kwamba umoja wa ulaya upo naye bega kwa bega.
Wanaosema anaomba misaada ,mimi nasema ni haki yake
hata wewe ukivamiwa na majambazi nyumbani kwako unapiga simu polisi.
Kwanini huwa hatunyamazi tukapambana nao peke yetu?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ukiona anakili huyo kuwa wanahitaji muda mrefu kiasi hicho maana yake maji yako shingoni. Kina ni kirefu mpaka maji yapungue ndo wapite. Wanajua kabisa mzigo ukifika wote na makamanda wakafuzu mafunzo shughuli itakuwa pevu.

2. Huo muda anaosema wa 2yrs maana yake mpaka Russia ajiandae kikamilifu in terms of military equipment na personnel. Kasi ya uzalishaji wa silaha haiendenani na mahitaji ya sasa frontline. There is inadequate military equipment production continuity to meet the demand.

3. Ni mwendawazimu tu ndo anaweza kusema Russia itashinda vita hii. Russia hana ubavu wa kushindana na mataifa yote yale kwa uchumi ule. Ni ndoto za abunuasi.
 
2. Huo muda anaosema wa 2yrs maana yake mpaka Russia ajiandae kikamilifu in terms of military equipment na personnel. Kasi ya uzalishaji wa silaha haiendenani na mahitaji ya sasa frontline. There is inadequate military equipment production continuity to meet the demand.
At the same time there is an increased rate in the elimination of Russian technical personnel (soldiers) in the frontline.
 
Sasa kama majimbo hayo mawili yanachukua miaka, Je walidhani wangeichukua Ukraine nzima kwa wiki?
Mahesabu , Mahesabu...Jamani; Aliyekokotoa hesabu la hiyo SOP ya Mrussi na akapata soln. eti ni 72 hrs. alikuwa vodka nyingi na bange mbichi kichwani na Darasani alipata F ya Mathematics. Sasa unategemea nn hapo?
 
Huenda alipata bangi mbichi ya huku kwetu Musoma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wanasiasa wa Urusi akiwemo Aleksandr Yushchenko, wameanza kuchoka Vita. Wanasema kwamba wanatumaini Rais Putin hatafanya Mobilization nyingine, pia wanatumaini atafungua mipaka kwa Vijana wanaotaka kwenda nje ya Nchi. Pia wanatumaini mapema mwaka huu atamaliza wanachoita Operation ili Nchi ijikite katika kuinua Uchimi.
 
Wanajeshi wa Urusi waliojisalimisha huko Vuhledar. Wamesema 50% wameuliwa na Majeruhi ni wengi. Ndo sababu wamejisalimisha. Wamesema kundi la 155th Guards Naval Infantry Brigade kutoka Vladivostok imeshateketezwa yote. Urusi itabidi iliunda upya kwa kuwapa wanajeshi,vifaa na mifumo mipya yakijeshi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…