Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Ni mwendawazimu tu ndo anaweza kusema Russia itashinda vita hii. Russia hana ubavu wa kushindana na mataifa yote yale kwa uchumi ule. Ni ndoto za abunuasi.
Wasomaji wa biblia wanajua Mungu aliufanya moyo wa faraho kuwa mgumu dhidi ya wanawa israel
mpaka alipopigwa pigo kubwa ndo akasalimu amri baada ya hasara kubwa.
 
Baadhi ya Wanajeshi wa Ukraine wameenda kujinoa kwa siku 40 huko Czech Republic
IMG_20230212_001646_385.jpg
IMG_20230212_001646_141.jpg
IMG_20230212_001646_436.jpg
IMG_20230212_001646_349.jpg
 
Back
Top Bottom