figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #10,981
Vuhledar Urusi wanakimbia ovyo kama mbwa, koko. Hawana magari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point kubwa sana,ni sawa na majambazi yakiwa yanarushiana risasi na polisi kwenye kundi la watu.Polisi wanarusha risasi kwa makini ili wasiwadhuru raia,lakini jambazi yeye hajari risasi itampata nani.Mkuu Sehemu ikiwa Vitani, hauwezi sema mumeikomboa kama hawajasurrender au kuretreat. Hata kama Brigade nzima wamekufa. Ipo hivi, Frontline akifa mtu analetwa mtu.
Pia mjini Ukraine haitumii silaha nzito kama ifanyavyo Urusi, sababu kuna wananchi na tunaogopa kuua watu wetu hivyo mjini mtu unaingia kwa taratibu kama unaua mbu alietua kwenye korodani sababu ukitumia nguvu unaua waukraine ukizingatia Urusi wanajificha kwenye makazi ya watu.
Hivyo hadi msafishe kabisa ndo mrangaze kukpmboa. Huwezi sema mumekomboa wakati bado kuna sehemu kuna adui. Sehemu kuwa chini ya jeshi maana yake mumekamata anga, ardhi na maji kiasi kwamba nzi hakatizi. Vuhledar bado kuna mapambano japo ipo chini ya Ukraine. Nashindwa nikufafanulieje. Wewe una nyumba yako upo ndani mwizi yupo nje anataka kuingia. Huwezi sema una amani hadi pale mwizi atakapoondoka. Lazima ufunge milango vizuri. Kuna sehemu mwizi yupo ndani wewe nje unapigana kumtoa nje uingie. Vuhledar Mrusi yupo nje anapambana kuingia. Hajakata tamaa, Wananchi bado wanajificha kwenye mahanadaki.
![]()
Russia may have lost an entire elite brigade near a Donetsk coal-mining town
‘Almost the entire brigade has already been destroyed near Vuhledar,’ Ukrainian official says.www.politico.eu
Kweli nimeelewa maana ya umoja ni nguvu.Pakistan wametuma Ukraine Makombora 10,000 ya MLRS "Grad" missiles. Yatapokelewa Poland kupitia katika bandari ya Ujerumani
View attachment 2515573
Salaam Wakuu,
Hii ni Special thread ya Video na Picha kutoka Uwanja wa Mapambano Ukraine kwa Wanajeshi Waliopo Msitari wa Mbele. Hii thread inawahusu timu Ukraine. Picha zinahusu mafanikio ya Ukraine.
View attachment 2158105
View attachment 2157979
Mwanajeshi wa Ukriane akiwa na PG-7VM rockets
View attachment 2157991
View attachment 2158012
Hiki ni kipigo cha kwanza walichokipata Urusi. Misafara wa Urusi Ulikuwa unaelekea Ukraine. Magari yenye Maandishi ya Z ndo ya Urusi. Na Wanajeshi wenye alama ya njano kwenye bega ndo wa Ukraine
View attachment 2158022
NB: Video kama haija vizuri kwenye screen yako, ijaze kwa kuizoom.
ANGALIZO: Baadhi ya picha zinatisha.
View attachment 2284112
View attachment 2284113View attachment 2284114
Hizi Grads missiles zitasaidia sana. Maana Ukraine naye ana mitambo mingi aliyoirithi kwa Soviet kwa hiyo anahitaji silaha ambazo ni compatiblePakistan wametuma Ukraine Makombora 10,000 ya MLRS "Grad" missiles. Yatapokelewa Poland kupitia katika bandari ya Ujerumani
View attachment 2515573
Kwani kuna mtu kakulazimisha kusoma nyuzi za watu,, si ni kihelehele chako,, kama hautaki unapita kimya kimyaUngeipenda Tanzania na Afrika kama unavyoipenda Ukraine na kupoteza muda wako, huenda ungechangia pakubwa. Ungejua hawa jamaa ni wabaguzi wa kunuka tena dhidi ya watu weusi wala usingepoteza muda wako na wetu kuleta utopolo huu mwanangu mjiiiiingani
Wazee wa Drones wakiwa wanashughulikia Urusi live
View attachment 2514162
Hapa tunapigania haki za binadamu.wewe ulibaguliwa ukraine ulienda kufanya nini?Ungeipenda Tanzania na Afrika kama unavyoipenda Ukraine na kupoteza muda wako, huenda ungechangia pakubwa. Ungejua hawa jamaa ni wabaguzi wa kunuka tena dhidi ya watu weusi wala usingepoteza muda wako na wetu kuleta utopolo huu mwanangu mjiiiiingani
Mbona unampangia cha kupost. Kwani akipost hivi ndio haipendi tz. Kwani hao warusi ndio sio wabaguzi au we mwenye kuchagua tu watu wa kuwapenda ni ubaguzi tosha acheni zenu warusi wa mchambawimaUngeipenda Tanzania na Afrika kama unavyoipenda Ukraine na kupoteza muda wako, huenda ungechangia pakubwa. Ungejua hawa jamaa ni wabaguzi wa kunuka tena dhidi ya watu weusi wala usingepoteza muda wako na wetu kuleta utopolo huu mwanangu mjiiiiingani
Hii hapa nilisahau kuiupdate. BBC walidai Igor Mangushev alikufa kesho yake baada ya kufikishwa Hospital. Taarifa alithibitisha mke wake tarehe 08 Feb 2023. Urusi walificha wakijua hatutajua kama kakukufa🤣🤣🤣Mnamkumbuka Igor Mangushev? Ni Mwanajeshi wa Kukodi. Ana kikundi chake cha jeshi alichounda huko Urusi kuja kupambana Ukraine. Kikundi chake kinaitwa ENOT ambacho kinalipwa na Putin hadi Vifaa wanapewa.
Mara ya mwisho alionekana jukwaani kashikilia Fuvu la mtu na kudai ni kichwa cha Askari wa Ukraine ambaye alimuua huko Azovstal Mariupol. Na yeye leo kapewa za kichwa. Japo kawahishwa Hospital, akipona atajifunza
View attachment 2506190View attachment 2506191View attachment 2506192