Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Pakistan wametuma Ukraine Makombora 10,000 ya MLRS "Grad" missiles. Yatapokelewa Poland kupitia katika bandari ya Ujerumani
20230213_005720.jpg
 
Mkuu Sehemu ikiwa Vitani, hauwezi sema mumeikomboa kama hawajasurrender au kuretreat. Hata kama Brigade nzima wamekufa. Ipo hivi, Frontline akifa mtu analetwa mtu.

Pia mjini Ukraine haitumii silaha nzito kama ifanyavyo Urusi, sababu kuna wananchi na tunaogopa kuua watu wetu hivyo mjini mtu unaingia kwa taratibu kama unaua mbu alietua kwenye korodani sababu ukitumia nguvu unaua waukraine ukizingatia Urusi wanajificha kwenye makazi ya watu.

Hivyo hadi msafishe kabisa ndo mrangaze kukpmboa. Huwezi sema mumekomboa wakati bado kuna sehemu kuna adui. Sehemu kuwa chini ya jeshi maana yake mumekamata anga, ardhi na maji kiasi kwamba nzi hakatizi. Vuhledar bado kuna mapambano japo ipo chini ya Ukraine. Nashindwa nikufafanulieje. Wewe una nyumba yako upo ndani mwizi yupo nje anataka kuingia. Huwezi sema una amani hadi pale mwizi atakapoondoka. Lazima ufunge milango vizuri. Kuna sehemu mwizi yupo ndani wewe nje unapigana kumtoa nje uingie. Vuhledar Mrusi yupo nje anapambana kuingia. Hajakata tamaa, Wananchi bado wanajificha kwenye mahanadaki.

Point kubwa sana,ni sawa na majambazi yakiwa yanarushiana risasi na polisi kwenye kundi la watu.Polisi wanarusha risasi kwa makini ili wasiwadhuru raia,lakini jambazi yeye hajari risasi itampata nani.
 
Salaam Wakuu,

Hii ni Special thread ya Video na Picha kutoka Uwanja wa Mapambano Ukraine kwa Wanajeshi Waliopo Msitari wa Mbele. Hii thread inawahusu timu Ukraine. Picha zinahusu mafanikio ya Ukraine.

View attachment 2158105
View attachment 2157979
Mwanajeshi wa Ukriane akiwa na PG-7VM rockets
View attachment 2157991
View attachment 2158012


Hiki ni kipigo cha kwanza walichokipata Urusi. Misafara wa Urusi Ulikuwa unaelekea Ukraine. Magari yenye Maandishi ya Z ndo ya Urusi. Na Wanajeshi wenye alama ya njano kwenye bega ndo wa Ukraine
View attachment 2158022

NB: Video kama haija vizuri kwenye screen yako, ijaze kwa kuizoom.

ANGALIZO: Baadhi ya picha zinatisha.
View attachment 2284112
View attachment 2284113View attachment 2284114

Ungeipenda Tanzania na Afrika kama unavyoipenda Ukraine na kupoteza muda wako, huenda ungechangia pakubwa. Ungejua hawa jamaa ni wabaguzi wa kunuka tena dhidi ya watu weusi wala usingepoteza muda wako na wetu kuleta utopolo huu mwanangu mjiiiiingani
 
Ungeipenda Tanzania na Afrika kama unavyoipenda Ukraine na kupoteza muda wako, huenda ungechangia pakubwa. Ungejua hawa jamaa ni wabaguzi wa kunuka tena dhidi ya watu weusi wala usingepoteza muda wako na wetu kuleta utopolo huu mwanangu mjiiiiingani
Kwani kuna mtu kakulazimisha kusoma nyuzi za watu,, si ni kihelehele chako,, kama hautaki unapita kimya kimya
 
Ungeipenda Tanzania na Afrika kama unavyoipenda Ukraine na kupoteza muda wako, huenda ungechangia pakubwa. Ungejua hawa jamaa ni wabaguzi wa kunuka tena dhidi ya watu weusi wala usingepoteza muda wako na wetu kuleta utopolo huu mwanangu mjiiiiingani
Hapa tunapigania haki za binadamu.wewe ulibaguliwa ukraine ulienda kufanya nini?
Urusi kama anapinga ubaguzi mbona hajaenda saudi arabia ambako mabinti waafrika wanaofanyakazi za ndani wananyanyaswa hadi kuuawa.
waambie hao warusi warudi kwao watakuwa salama salimini.
 
Nchi yetu ilikuwa ya amani. Ninyi mkatuingiza kwenye vita kwa jeuri na Uwezo wenu. Mumeua bibi, wazi na Watoto wetu, Mumevamia nchi na kichukua Mali zetu kwa kutuona sisi wanyonge
 
Ungeipenda Tanzania na Afrika kama unavyoipenda Ukraine na kupoteza muda wako, huenda ungechangia pakubwa. Ungejua hawa jamaa ni wabaguzi wa kunuka tena dhidi ya watu weusi wala usingepoteza muda wako na wetu kuleta utopolo huu mwanangu mjiiiiingani
Mbona unampangia cha kupost. Kwani akipost hivi ndio haipendi tz. Kwani hao warusi ndio sio wabaguzi au we mwenye kuchagua tu watu wa kuwapenda ni ubaguzi tosha acheni zenu warusi wa mchambawima
 
Mnamkumbuka Igor Mangushev? Ni Mwanajeshi wa Kukodi. Ana kikundi chake cha jeshi alichounda huko Urusi kuja kupambana Ukraine. Kikundi chake kinaitwa ENOT ambacho kinalipwa na Putin hadi Vifaa wanapewa.

Mara ya mwisho alionekana jukwaani kashikilia Fuvu la mtu na kudai ni kichwa cha Askari wa Ukraine ambaye alimuua huko Azovstal Mariupol. Na yeye leo kapewa za kichwa. Japo kawahishwa Hospital, akipona atajifunza
View attachment 2506190View attachment 2506191View attachment 2506192
Hii hapa nilisahau kuiupdate. BBC walidai Igor Mangushev alikufa kesho yake baada ya kufikishwa Hospital. Taarifa alithibitisha mke wake tarehe 08 Feb 2023. Urusi walificha wakijua hatutajua kama kakukufa🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom