Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hii hapa nilisahau kuiupdate. BBC walidai Igor Mangushev alikufa kesho yake baada ya kufikishwa Hospital. Taarifa alithibitisha mke wake tarehe 08 Feb 2023. Urusi walificha wakijua hatutajua kama kakukufa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Slava Ukraine [emoji1255]
Slava Ukraine [emoji1255]
Slava Ukraine [emoji1255]
 
Mke wa Igor Mangushev analalamikia Serikali ya Urusi kaa kutompeleka mumewe hospitali kubwa afanyiwe operation ya kichwa pia eti uchunguzi wa kifo chake hajafanyika. Kweli warusi wajinga, alikuwa anafurahia mumewe kuua watu wa ukraine na kutembea na mafuvu yao jukwaani. Au walijua Waukraine sio watu?

Angekuwa anampenda angemshauri asiende Vitani
 
Igor Mangushev wakati wa Uhai wake Alisema ataifuta Ukrane kwenye uso wa dunia. Amekufa bila hata kujaribu kufuta
20230213_190352.png
 
Hii hapa nilisahau kuiupdate. BBC walidai Igor Mangushev alikufa kesho yake baada ya kufikishwa Hospital. Taarifa alithibitisha mke wake tarehe 08 Feb 2023. Urusi walificha wakijua hatutajua kama kakukufa🤣🤣🤣
Naam! Kula na kulipa. Huyo Mangushev alidhani waUkraine ndo wanayo mafuvu ya kuchezea disco. Fuvu lake mwenyewe nalo limebomolewa na hao-hao waUkraine. Hilo na liwe ni fundisho na onyo kali kwa waRussi walioko katika kikundi cha ENOT waache kujitutumua eti wanalipwa hela nyingi na vifaa kedekede kutoka kwa Putin mwenyewe. Haya sasa!Putin na akamwokoe kama anampenda zaidi kuliko malaika Ziraeli mtoa roho.
 
Warusi baadhi wanazikwa huku. Kwa jinsi walivyo wengi, Makaburi yanachimbwa na kijiko. Urusi imeshikishwa adabu, hatarudia kwa Nchi nyingine. Ukiwauliza Pro Urusi kwanini hawa wamekufa hamna majibu. Ukraine tunaju wanafia Nchi yao na Wanatetea Nchi dhidi ya Wakoloni Wavamizi. Je Urusi kwanini wanakufa?
 
Back
Top Bottom