uchumi2018
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 1,657
- 2,406
Wasomaji wa biblia wanajua Mungu aliufanya moyo wa faraho kuwa mgumu dhidi ya wanawa israelNi mwendawazimu tu ndo anaweza kusema Russia itashinda vita hii. Russia hana ubavu wa kushindana na mataifa yote yale kwa uchumi ule. Ni ndoto za abunuasi.
Wanavyojilamba utadhani wamepewa asali. ππππWarusi wenye bahati, wanapewa hadi chaiπ€£
View attachment 2514154
Alikuwa busy ana shoot Drone. Kaona kitu kinashuka kageuka kuwa swala kwa mbio zile. ππππ
Warusi wenye bahati, wanapewa hadi chaiπ€£
View attachment 2514154
Wameshajikatia tamaa kabisa. Wameshachoka hata kukimbia mabomu. ππππAngalia Warusi wanavyo teketezwa
View attachment 2514189