Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Ukiangalia hii vita urusi vs ukraine binadamu hana thamani kabisa, ardhi inathaminiwa kuliko uhai
The answer is YES, sababu zipo nzuri tu;
1. Imeandikwa binadamu ni lazima atakufa tu hata bila kupigwa risasi. Ipo siku atakufa lakini Ardhi haifi itakuwepo milele na milele.

2. Ardhi inadumu milele na milele na italisha vizazi na vizazi mpaka mwisho wa dunia hii, lakini binadamu hawezi kudumu milele na milele. Binadamu analisha kizazi kimoja au viwili tu.

3. Ardhi ni Asset lakini binadamu ni Liability.

4. Kwenye ardhi unaweza kuweka permanent investment lakini binadamu si permanent investment.

5. Ardhi haizaliani lakini Binadamu wanazaliana kwa hiyo hata akifa mmoja atazaliwa mwingine, hata kama atazaliwa chotara lakini atakuwa amezaliwa mwanadamu.

6. Ardhi unaweza kuombea mkopo kwenye mabenki lakini binadamu huwezi kumkopea benki hata kumweka dhamana.

7. Ardhi ina thamani kubwa ndo maana watu kila siku watu wanauwana sababu ya ardhi au migogoro ya ardhi inaibuka kila siku, lakini sijawahi kuona watu wanamgombania binadamu au mgogoro wa kumgombania mwanadamu labda kama ni maiti.

Yapo mambo mengi lakini kwa leo niishie hapo.

Thamani ya binadamu ni Heshima na UTU wake tu. Sote tunatambua na tunakubaliana kuwa Uhai na utu wa mtu una dhamani lakini Ardhi ina thamani zaidi.

Mfano mzuri tu ni kwamba Putin sasa kapoteza udhamani na UTU wa ubinadamu wake. Mbele ya macho ya wa-Ukraine na dunia kwa ujumla hata akifa anastahili kuburuzwa hata kwenye Rami maana ni sawa sawa na fisi tu. Lakini Russia kama nchi itaendelea kuthaminiwa ili mradi itawaliwe na mtu mstaarabu.
 
Are you serious kuwa matumizi ya HIMARS yamepungua.

Kinachofanya Russia na Wagner walalamike upungufu wa risasi, vifaru na artillery frontline ni nini kama siyo HIMARS kunyemelea maghala ya silaha na kubomoa madaraja.

Kikosi cha HIMARS bado kinapiga mzigo wa maana.
Labda ameona hatupost akajua hazifanyi kazi. HIMARS zipo na zinapiga mzigo kamakawaida. HIMARS inalenga Maghala ya Silaha. Na kambi za kijeshi. Nikipata muda ntapost HIMARS zikiwa mzigoni
 
Labda ameona hatupost akajua hazifanyi kazi. HIMARS zipo na zinapiga mzigo kamakawaida. HIMARS inalenga Maghala ya Silaha. Na kambi za kijeshi. Nikipata muda ntapost HIMARS zikiwa mzigoni
Muwe mnasoma vizuri kile mtu ameandika na kuelewa basi mbona kubishana tena wakuu!!
 
Ila Poland ana Mikwara, kanunua HIMARS 500 za Kulinda Mpaka kati yake na Belarus. Yaani Kila km1 HIMARS 1. Mpaka wa Poland na Belarus inakadiliwa kuwa na Urefu wa KM 500
20230219_001752.jpg
 
Hawa ni Kikosi cha Wagners, Wanalalamikia kucheleweshewa Silaha na risasi. Wanalalamika Mamia ya wenzao wanakufa kwa kuishiwa risasi. Hii miili inayoonekana ni Wagners, hata njia ya kuja kuichukua ikazikwe Urusi imekuwa ngumu.

Hapa chini kuna jamaa katafsiri kimachoongelewa
View attachment 2521334
00:00 → 00:04
Every day we lose hundreds of our comrades in battle.
00:04 → 00:13
There could be twice as many of them if the military officials provided us with weapons and ammunition on time.
00:13 → 00:15
Everything we need.
00:15 → 00:20
Stop being lawless. Let us fight. Let us defend our country, our homeland.
00:20 → 00:23
There are hundreds of our guys here.
00:23 → 00:30
Send your children to this war.

Slava Ukrain
 
Ila Poland ana Mikwara, kanunua HIMARS 500 za Kulinda Mpaka kati yake na Belarus. Yaani Kila km1 HIMARS 1. Mpaka wa Poland na Belarus inakadiliwa kuwa na Urefu wa KM 500
View attachment 2522245
Poland kajifunza kutoka kwenye historia.
Wao walikuwa wahanga wa mwanzo wa kuvamiwa na Majeshi ya Hitler enzi za vita kuu ya pili. Sasa hivi hataki kukaa kilegelege
 
Back
Top Bottom