Duh! Eee kazi itakuwepo. Cjui huyo mdudu anaitwaje manake Mrussi anatishia Sukhoi.Sasa tujiandae kushuhudia. Vita ya ndege. Ndege zishaanza kukusanywa ili zipelekwe Ukraine. Kilichokuwa kinaimarishwa ni Mifumo ya anga. Soon tutaanza kuona anga la Ukraine likipendeza
View attachment 2521309
Ukiangalia hii vita urusi vs ukraine binadamu hana thamani kabisa, ardhi inathaminiwa kuliko uhaiNaam; Huyo si ndo bwana mkubwa?. Unashangaa nn.
The answer is YES, sababu zipo nzuri tu;Ukiangalia hii vita urusi vs ukraine binadamu hana thamani kabisa, ardhi inathaminiwa kuliko uhai
Labda ameona hatupost akajua hazifanyi kazi. HIMARS zipo na zinapiga mzigo kamakawaida. HIMARS inalenga Maghala ya Silaha. Na kambi za kijeshi. Nikipata muda ntapost HIMARS zikiwa mzigoniAre you serious kuwa matumizi ya HIMARS yamepungua.
Kinachofanya Russia na Wagner walalamike upungufu wa risasi, vifaru na artillery frontline ni nini kama siyo HIMARS kunyemelea maghala ya silaha na kubomoa madaraja.
Kikosi cha HIMARS bado kinapiga mzigo wa maana.
Muwe mnasoma vizuri kile mtu ameandika na kuelewa basi mbona kubishana tena wakuu!!Labda ameona hatupost akajua hazifanyi kazi. HIMARS zipo na zinapiga mzigo kamakawaida. HIMARS inalenga Maghala ya Silaha. Na kambi za kijeshi. Nikipata muda ntapost HIMARS zikiwa mzigoni
Pole sana Mkuu.. Jifunze kuwa na ngozi ngumu. Umeeleweka, tunakuchangamsha pia.Muwe mnasoma vizuri kile mtu ameandika na kuelewa basi mbona kubishana tena wakuu!!
Hawa ni Kikosi cha Wagners, Wanalalamikia kucheleweshewa Silaha na risasi. Wanalalamika Mamia ya wenzao wanakufa kwa kuishiwa risasi. Hii miili inayoonekana ni Wagners, hata njia ya kuja kuichukua ikazikwe Urusi imekuwa ngumu.
Hapa chini kuna jamaa katafsiri kimachoongelewa
View attachment 2521334
00:00 → 00:04
Every day we lose hundreds of our comrades in battle.
00:04 → 00:13
There could be twice as many of them if the military officials provided us with weapons and ammunition on time.
00:13 → 00:15
Everything we need.
00:15 → 00:20
Stop being lawless. Let us fight. Let us defend our country, our homeland.
00:20 → 00:23
There are hundreds of our guys here.
00:23 → 00:30
Send your children to this war.
HIMARS ikiwa mzigoni
View attachment 2522192
Ndo ujue sasa kwamba ni mbabe wa dunia.Na msababishi mkuu, ni USA; kwa sababu Taiwan yupo, Korea kusini yupo, Ukraine yupo.
Poland kajifunza kutoka kwenye historia.Ila Poland ana Mikwara, kanunua HIMARS 500 za Kulinda Mpaka kati yake na Belarus. Yaani Kila km1 HIMARS 1. Mpaka wa Poland na Belarus inakadiliwa kuwa na Urefu wa KM 500
View attachment 2522245