Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Watakuwa walisinzia tu, wameamushwa. Wamelazimika kufufuka bila shuruti 😂😂😂😂😂
Aisee Mkuu, nimeanza kukuelewa. Leo Bakhmut tumepelekewa Moto kuanzia saa tisa za Usiku... Yaani Vumbi linatimuka balaa. Ngoja tuone🔥🔥🧨😩😩🚒🧯↖️↖

Halafu Thermal Weapon Sight (TWS) nazo zinatumiwa na Snipers. Hawa jamaa ni Vampires, wanakufa bado wanakuja tu
 
Warusi walijifanya wamekufa wakashitukiwa🤣🤣
View attachment 2529646
Watakuwa walisinzia tu, wameamushwa. Wamelazimika kufufuka bila shuruti 😂😂😂
😂😂😂
Kwa upande wa Kaskazini mwa Bakhmut jana tu wamechukua Yahidne na Berkhivka. Washenzi wale walitumia Thermobaric attacks nje ya mji. Wamelipua artillery system zetu kadhaa. Lakini pia wamepiga offensive upande wa mashariki na wamefanikiwa kuwa na control ya mitaa kazaa ndani ya Bakhmut.

Wame deploy wanajeshi wengi sana Bakhmut na Artillery za kutosha.
 
Baada ya kuona Azov wameamua kubomoa bwawa la maji leo ili Wagners wasivuke, nikajua shughuli ipo. Yale maji wanategemea yanaweza wazui kwa masaa manne hadi nane tu
Your browser is not able to display this video.
 
Wapo wana malizia kozi mkuu soon wanakuja
 
Ukraine inabidi tuongeze Wanajeshi na zana nzito za kivita au Turetreat. Otherwise itakuwa kama Mariupol. Warusi wanafanya mpango wa Kuizunguka ili waiweke mtu kati. Ngoja tuone mbinu za kivita hapa. Itakuwaje?
View attachment 2529864
The best way is to retreat to avoid loss of many soldiers. Yesterday we lost over 50 soldiers at Bakhmut.
 
Nilishawahi kuandika humu huyu Fanfa huwa ninaamini sana habari zake. Wote humu sisi ni pro ukraine ila kwenye ukweli tuambiane tuache mahaba.

Mwingine ni Missile of the Nation .
 
The best way is to retreat to avoid loss of many soldiers. Yesterday we lost over 50 soldiers at Bakhmut.
Ukraine wamesema kuwa kama wakiretreat Bakhmut zitakuja Bakhmut nyingine nyingi baada ya hii. Wanasema ni bora waweke mustand wapambane hapohapo Bakmut ili kulinda miji mingine isigeuke Bakhmut. Kama Ukraine wakifanikiwa hapo, itaturn tide ya vita mazima.
Bakhmut ikianguka itakuwa launch pad ya kureverse mafanikio yaliyopatikana Kharkiv
 
Ukraine wamesema kuwa kama wakiretreat Bakhmut zitakuja Bakhmut nyingine nyingi baada ya hii. Wanasema ni bora waweke mustand wapambane hapohapo Bakmut ili kulinda miji mingine isigeuke Bakhmut.
Halafu pale kuna vifaa vingi vya kovita ambavyo huwezi kuvihamisha muda mchache, hivyo wakiondoka watakuwa wamewachia mifumo ya Kivita Urusi. Hata hivyo mimi nina imani sana na Jeshi la Ukraine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…