Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Urusi inawqpelekea Silaha na risasi Wagners, tatizo ni kwamba havitumiki sababu vimekaa sana. Muda mrefu. Ndo maana Marekani anapigana vita kila keo silaha zake zisipotee burre. Urusi ana Silaha nyingi ila haziwezi kutumika. Kasema Alexander Khodakovsky kamanda wa kikosi cha Vostok Battalion cha Urusi.
20230224_004442.jpg
20230224_004439.jpg
20230224_004436.jpg
 
Barabara za supply. Hapo pekundu pako chini ya Urusi, sio rahisi barabara ikawa chi ya Ukraine. Barabara zilizopo chini ya Ukraine ni maeneo ambayo Ukraine imeyakomboa. Kumbuka haya maeneo ya Donetsk yapo chini ya Urusi tangu 2014. UKRAINE inafanya kutarudisha. Kuna sehemu walipiga kura ya kujiunga na Urusi lakini Ukriane imeyachukua. Donetsk na Luhansk Urusi ilishaweka Mizizi. Jeshini kuretreat ni jambo zuri kuliko kuzungukwa mkawekwa watu kati. Kumbuka Ukraine ina Rasilimali watu ndogo ukilinganisha na Urusi. Hadi sasa mji wa Severodonetsk ndo Ukraine walireteat tangu juni,yaani waliuachilia. Sehemu nyingine mapambano yanaendelea. Bado tunaamini kwa silaha mpya Ukraine imepata, itasonga mbele. Tujipe muda
View attachment 2527006View attachment 2527007View attachment 2527008View attachment 2527009View attachment 2527011

Slava Ukrain
 
Mkuu, naomba nikuhakikishie, njia kuu ya Izyum kwenda Bakhmut inashikiliwa na Ukraine. Hata Lysychans'k ikikamatwa na Urusi sio njia kuu. Angalia hapa Izyum, Lysychans'k na Bakhmut. Naomba nikuondos wasiwasi kwani Majeruhi wanapelekwa Izyum, vyakula na Silaha bado zinafaka Bakhmut. Hata juzi nilipost picha za Magari na ndege wakienda kuongeza nguvu Bakhmut
View attachment 2527757

Slava Ukrain
 
Urusi inawqpelekea Silaha na risasi Wagners, tatizo ni kwamba havitumiki sababu vimekaa sana. Muda mrefu. Ndo maana Marekani anapigana vita kila keo silaha zake zisipotee burre. Urusi ana Silaha nyingi ila haziwezi kutumika. Kasema Alexander Khodakovsky kamanda wa kikosi cha Vostok Battalion cha Urusi.
View attachment 2527988View attachment 2527989View attachment 2527990
Hahahaaa.Jamaa alijilimbikizia mazagazaga sasa yamemdodea. Anambambikizia Wagner ili aende nayo uwanja wa mapambano. Mrussi bhana.
 
Sawa, ila soma na hapa. Ili usije sema ni maneno yangu au mimi nimepotosha
View attachment 2527957

Ukisoma between lines maelezo haya yana support ninachokisema.

1. Paragraph one ina support nilichosema kuwa jeshi la Ukraine limesema kuwa more Russian Artillery, MLRS, Tanks and Mortars are concentrated in the area of Bakhmut.

2. Hoja iliyopo kwenye Paragraph two ni kwamba Jeshi linakanusha kuwa "....Russian forces cut of supply to the City". Ukisoma pia paragraph ya tatu sentence ya mwisho inasema "......adding that there several different supply routes". Maana yake bado haijakinzana na hoja yangu kuwa route ya Kramatorsk kwenye Bakhmut iko salama. Hizo ndo different supply routes zinazoongelewa. Hoja ya Russia wanasema wame cut off supply kuingia Bakhmut.

3. Paragraph ya nne anakiri kuwa Russian forces wame advance. Kitu ambacho hata mimi nilisema. Nashindwa kuelewa mnachopinga hapa ni kipi hasa? Maana ukweli uko wazi.

4. Msemaji wa Ukraine si mtakatifu kwamba lolote atakalosema ni kweli. Kuna mambo hata kama yana ukweli yanaweza kukanushwa kwa sababu maalum. Mfano halisi ni pale mji wa Soledar ilipochukuliwa jeshi lilikanusha huku wakijua ukweli.

Ushauri
1. We have to accept the reality on the ground.
2. Don't rush to oppose before making some findings to get the truth.
3. Others, also have trusted sources of information.

Mkiendelea Kubisha nitakaa kimya lakini ukweli utabaki pale pale.
 
Ukisoma between lines maelezo haya yana support ninachokisema.

1. Paragraph one ina support nilichosema kuwa jeshi la Ukraine limesema kuwa more Russian Artillery, MLRS, Tanks and Mortars are concentrated in the area of Bakhmut.

2. Hoja iliyopo kwenye Paragraph two ni kwamba Jeshi linakanusha kuwa "....Russian forces cut of supply to the City". Ukisoma pia paragraph ya tatu sentence ya mwisho inasema "......adding that there several different supply routes". Maana yake bado haijakinzana na hoja yangu kuwa route ya Kramatorsk kwenye Bakhmut iko salama. Hizo ndo different supply routes zinazoongelewa. Hoja ya Russia wanasema wame cut off supply kuingia Bakhmut.

3. Paragraph ya nne anakiri kuwa Russian forces wame advance. Kitu ambacho hata mimi nilisema. Nashindwa kuelewa mnachopinga hapa ni kipi hasa? Maana ukweli uko wazi.

4. Msemaji wa Ukraine si mtakatifu kwamba lolote atakalosema ni kweli. Kuna mambo hata kama yana ukweli yanaweza kukanushwa kwa sababu maalum. Mfano halisi ni pale mji wa Soledar ilipochukuliwa jeshi lilikanusha huku wakijua ukweli.

Ushauri
1. We have to accept the reality on the ground.
2. Don't rush to oppose before making some findings to get the truth.
3. Others, also have trusted sources of information.

Mkiendelea Kubisha nitakaa kimya lakini ukweli utabaki pale pale.

Aisee…. Ina maana ukikaa kimya dunia ndo itapasuka?
 
Back
Top Bottom