Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Na hii ilikuwa mazoea hivyo Ukraine hakwenda na Vifaru vingi Bakhmut kwa kutegemea kutumia atakavyo teka kutoka Urusi. Matokeo yake Urusi haileti Vifaru tena, unatumia missiles then wanakuja watu kama nyuki wasio wataalam wanakufa then wanakuja wataalam na Vifaru nyie mshachoka. Urusi hawajali hata mwanajeshi akifa, wanamkanyaga wanasonga mbele.Sasa hivi technic ya Warusi huko Bakhmut ni kutumia human waves, yaani yanakuja mawimbi ya askari, Ukraine inawaua, wanakuja tena, inawaua wanakuja tena. Warusi wakifanikiwa kukamata position ndo wanakuja askari wazoefu then ndo wanaleta vifaa vyao. Ni tofauti na mwanzo ambapo walikuwa wanaleta vifaa na askari kwa pamoja.
Hata mimi nina imani na jeshi la Ukraine, naamini lipo linaandaa operation ya kukata mzizi wa fitina huko Bakhmut
Nimesoma mahali kuwa technic nyingine wanayotumia Warusi kwa sasa ni kama ile ambayo Waukraine waliitumia mwanzoni mwa vita, yaani wanakuja askari katika vikundi vya askari wachache lakini vikundi vingi mno. Wanaweza kuja ktk vikundi vya askar watano watano wa Wagner. Mkiwaengage wanajua mlipo, wanatuma taarifa za locations zenu kwa vikosi vyao vya artillery wanawanyeshea mizinga.Na hii ilikuwa mazoea hivyo Ukraine hakwenda na Vifaru vingi Bakhmut kwa kutegemea kutumia atakavyo teka kutoka Urusi. Matokeo yake Urusi haileti Vifaru tena, unatumia missiles then wanakuja watu kama nyuki wasio wataalam mnakufa then wanakuja wataalam nyie mshachoka.
Mathanzua hawezi kukubali kuwa Elon Musk kanunuliwa na Urusi maana Elon ni mdau wa NWO.Drones za Ukraine zinatumia internet pia. Hivyo Urusi kaona drone za Ukraine zimemkalia Vibaya, ikabidi atoe Fungu kwa Elon Musk japo kudogo. Kumbuka vita ni biashara na Mfuko wa Elon unazidi kutuna.
Ila hakuna kitakachoharibika as long as USA ipo upande wetu. Tunaweza msusia Starlink na tukafanya vizuri Frontline. Si mara ya kwanza kufanya ujinga wake. Alikata internet Ukraine ilipoanza mashambulizi Crimea na Daraja la Crimea
View attachment 2512256
Kwa hiyo Wagner ndio wanatumika kama human waves ?Sasa hivi technic ya Warusi huko Bakhmut ni kutumia human waves, yaani yanakuja mawimbi ya askari, Ukraine inawaua, wanakuja tena, inawaua wanakuja tena. Warusi wakifanikiwa kukamata position ndo wanakuja askari wazoefu then ndo wanaleta vifaa vyao. Ni tofauti na mwanzo ambapo walikuwa wanaleta vifaa na askari kwa pamoja.
Hata mimi nina imani na jeshi la Ukraine, naamini lipo linaandaa operation ya kukata mzizi wa fitina huko Bakhmut
Naam, siyo Russia regular armyKwa hiyo Wagner ndio wanatumika kama human waves ?
Kuna kipindi Pentagon waliishauri Ukraine wauache huu mji ili wajipange na offensive maeneo mengine ila walikataa hilo pendekezo....huu mji wanaulinda kwa gharama huku wanahitaji man power za offensive ijayo.Re inforcement za Ukraine zinakwenda Bakhmut kusaidia
View attachment 2528728
Mwanzoni hata mimi nilikuwa siwaelewi Ukraine kwa nini wanakomaa pale Bakhmut. Ila wakipaacha lazima itatokea mji mwingine Warusi watarudia pattern yao ya "Haribu kisha songa"Kuna kipindi Pentagon waliishauri Ukraine wauache huu mji ili wajipange na offensive maeneo mengine ila walikataa hilo pendekezo....huu mji wanaulinda kwa gharama huku wanahitaji man power za offensive ijayo.
Ushauri wa Pentagon kwa Ukraine kujiondoa Bakhmut ili kuhifadhi man power kwa ajili ya offensive ulikuwa sahihi sema Ukraine waliukataa.1. Narudia tena na tena kuwa the only route to Izyum from Bakhmut is via Kostyantynivka, Kramatorsk and Slovyansk.
2. Hakuna sehemu niliyosema kuwa njia kuu ya kwenda Izyum iko under control ya Russia. Nilichosema ni kuwa kipande cha njia kuu kutoka Bakhmut kuelekea Slovyansk kiko chini ya Wagner/Russia. Nikaongeza kwa kusema kutoka Bakhmut hadi Pryvillya na Min'kivka kipande hicho ndo kiko chini ya Wagner/Russia.
3. Nikaongeza kuwa njia kuu iliyo salama ni kutoka Bakhmut kwenda Kramatorsk via Kostyantynivka. Kutoka Kramatorsk kwenda Slovyansk hadi Izyum njia iko salama. Hiyo ndo safe route kuingia Bakhmut.
4. Tension kubwa sasa hivi kwa Bakhmut ni kuzungukwa na majeshi wa Russia. Hata msemaji wa jeshi la Ukraine alisema jana kuwa the situation at Bakhmut is difficult as Russian troops are trying to encircle Bakhmut. Akaongeza kwa kusema Russian Artillery, MLRS, Mortars, Tanks are concentrated at Bakhmut. Kwenye hili endeleeni kubisha lakini huo ndo ukweli.
5. Tatizo letu uzalendo umetuzidi tunataka kuwaaminisha watu kuwa Russia/Wagner hawaipigi Ukraine ila Russia ndo wanapigwa kitu ambacho siyo sahihi hata kidogo. Isingekuwa hivyo wangewezaje kusonga mbele all the way kutoka Nova Kam'yanka, Soledar hadi sasa wanakaribia Pryvillya. Kama hilo ndo sahihi si tungekuwa tumeshawafurusha Donetsk yote na Luhansk.
Let us accept the reality. Russia nao wanapiga siyo kwamba wanapigwa wao tu.
Sio kwamba walikataa kuondoka kwa 'political mileage' tu yaani kuonyesha raia wao na wafadhili bado wana uwezo wa kupambana ?Mwanzoni hata mimi nilikuwa siwaelewi Ukraine kwa nini wanakomaa pale Bakhmut. Ila wakipaacha lazima itatokea mji mwingine Warusi watarudia pattern yao ya "Haribu kisha songa"
Katika vita lazima itokee mji mmoja au miwili ambapo mnadraw red line kwamba piga ua garagaza hamrudi nyuma
This is impossible👉Drones za Ukraine zinatumia internet pia. Hivyo Urusi kaona drone za Ukraine zimemkalia Vibaya, ikabidi atoe Fungu kwa Elon Musk japo kudogo👈Mathanzua hawezi kukubali kuwa Elon Musk kanunuliwa na Urusi maana Elon ni mdau wa NWO.
Ideally uko sahihi. Tufanyaje sasa. Hatuna Artillery, tanks, MLRS na ndege za kutosha Bakhmut. Wenzetu wanatushambulia kwa ndege, wana Artillery na tanks za kutosha na wame deploy infantry men wa kutosha.Ukraine wamesema kuwa kama wakiretreat Bakhmut zitakuja Bakhmut nyingine nyingi baada ya hii. Wanasema ni bora waweke mustand wapambane hapohapo Bakmut ili kulinda miji mingine isigeuke Bakhmut. Kama Ukraine wakifanikiwa hapo, itaturn tide ya vita mazima.
Bakhmut ikianguka itakuwa launch pad ya kureverse mafanikio yaliyopatikana Kharkiv
Hata mimi sitaki huu mji tuuachie, sababu ndo njia ya kwenda kikomboa Mariupol nyumbani mwa Azov. Kule kuna chuma.. Ndo maana hata Urusi akaiachia Kherson kwenye matikiti maji wanajeshi wakaenda kuongeza nguvu Donetsk ili wahakikishe Ukraine haifiki Mariupol ili waendelee kuiba chuma. Yaani Bakhmut ni kama Izyum. Ni sehemu zinashikwa ili ufike sehemu fulani. Kama Ukraine wakiretreat mipango ya kuirudisha Mariupol mwezi wa nane tusahauKuna kipindi Pentagon waliishauri Ukraine wauache huu mji ili wajipange na offensive maeneo mengine ila walikataa hilo pendekezo....huu mji wanaulinda kwa gharama huku wanahitaji man power za offensive ijayo.
Wale wafungwa ndo wanatolewa kafara. Hawana mbinu za kivita. Wanauawa lakini wanaendelea kusonga mbele wale wa nyuma yao.Kwa hiyo Wagner ndio wanatumika kama human waves ?
Kwa jinsi West walivyoamua kupeleka vitu vya uhakika kule Ukraine, soon utaona muziki unavyokwendaIdeally uko sahihi. Tufanyaje sasa. Hatuna Artillery, tanks, MLRS na ndege za kutosha Bakhmut. Wenzetu wanatushambulia kwa ndege, wana Artillery na tanks za kutosha na wame deploy infantry men wa kutosha.
Wakifanya hivo tutapoteza askari wengi na bado Bakhmut itachukuliwa. Kuwekwa kati si jambo lenye afya kwenye vita. Ku retreat siyo kushindwa vita. Ni kurudi nyuma ili upate muda wa kujipange vizuri.
Bakhmut needs tanks, Artillerys, MLRS and fighting jet. Hapo ndo tutavunja frontline ya Russia kwa Bakhmut. Ni risk kuweka infantry men bila kuwa cover na Artillerys, MLRS & fighting jet.
Bakhmut is a military Hub. Pale ni makutano ya njia kuu kama 5 hivi. Kwa Ukraine Bakhmut ni muhimu sana. Ikiwa under control ya Russia wata paralyse logistics supply routes.Mwanzoni hata mimi nilikuwa siwaelewi Ukraine kwa nini wanakomaa pale Bakhmut. Ila wakipaacha lazima itatokea mji mwingine Warusi watarudia pattern yao ya "Haribu kisha songa"
Katika vita lazima itokee mji mmoja au miwili ambapo mnadraw red line kwamba piga ua garagaza hamrudi nyuma
Tatizo ni delivery time. Tukinyang'anywa Bakhmut ni pigo kubwa sana. Mzigo mkubwa wa kuwawezesha Ukraine kuanzisha counter offensive bado joint coordinating ina mobilize na kuwapatia mafunzo wanajeshi. Mzigo mkubwa utaanza kuingia end of March.Kwa jinsi West walivyoamua kupeleka vitu vya uhakika kule Ukraine, soon utaona muziki unavyokwenda
Kwa sasa Vifaru vya Leopard 2, Air defenses, Long range missiles (UK wamesema wanaprovide) na silaha nyingine nyingi tu zinapelekwa Ukraine kuipiga tafu.
Disadvantage kuu ya Ukraine ni Manpower, Urusi ina manpower kubwa zaidi , Lakini Manpower haifui dafu mbele ya Tekinolojia.
Bado kuna silaha nyingi sana katika arsenal ya west hawajampa Ukraine, kwa mfano F-16. Muda ukifika utaona nazo wanampa pia.
Iko hivi. West kamwe hatokubali kupoteza vita hii, wakiipoteza itasignal kuanguka kwa west dominated world na kamwe hawatokubali hilo litokee, watamsaidia Ukraine kwa udi na uvumba
Frontline hakuna kazi ngumu kama kuchimba mahandaki, mikiyaachia mahandaki yenu wakayashika, ni blaa. Kwani sio rahisi kuanzisha Frontline mpya, ndo maana wanajeshe wakiretreat wanaondoka sehemu kubwa. Mfano Urusi walivyo retreat Kherson.Tatizo ni delivery time. Tukinyang'anywa Bakhmut ni pigo kubwa sana. Mzigo mkubwa wa kuwawezesha Ukraine kuanzisha counter offensive bado joint coordinating ina mobilize na kuwapatia mafunzo wanajeshi. Mzigo mkubwa utaanza kuingia end of March.