Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Duh! Mrusi ni mtu wa ajabu sana. Anaua watu wake kwa kuwatanguliza mbele eti ni wa thamani ndogo ili yeye anayejiona wa thamani kubwa aendeelee kushamiri au kuishi. Ni sawa sawa na e.g. njaa imeingia mahali halafu wewe unachinja watu wako ili ule nyama zao upate kuishi/kuwa hai.
Huo ni ufedhuli mkubwa wa kiwango cha kutisha na Inasikitisha mno.
 
Naam, siyo Russia regular army
Dah! Iko siku hao Wagner watagundua au kubaini kwamba wanatumika kama chambo. Sasa hivi kuna sintofahamu kati ya Viongozi wa Wagner na Majenerali wa Jeshi rasmi la Urusi na isitoshe Wagner wanalalamika hawapewi tena ipasavyo mahitaji yao.
Hapo ni kwamba Wagner wanatumika tu kama ufagio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…