Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hili eneo lilikuwa linashikiliwa na Wagners huko Bakmut. Wamepelekewa moto hadi wakakimbia. Hakuna jiwe limesalia juu ya jiwe wala hakuna mti ulosalia wala mtu🤣🤣🤣
View attachment 2538685
Ukiona msitu umegeuka kuwa vipande vya kuni maana yake Ukraine wana very powerful machine. Huenda Bradley imepelekwa huko.
 
Sura imekaa kiwakala wa shetani kabisa. Anatamani damu za watu tu. Huyu mtu hata kwa kumwangalia hayuko normal lazima atakuwa anavuta bangi au kutumia madawa. Yuko Upset.
Hii sura nilikuwa sijawahi kuiona,ila juzi nilimsikia akiongea BBC radio, eti kumsihi Zelensky aaamrishe wanajeshi wake wa retreat jinsi alivyokuwa anaongea nikasema huyu jamaa lazima atakuwa mlevi sana wa pombe,kwahio nakubaliana na wewe kwa sura hii hata madawa atakuwa anatumia huyu
 
Apumzike kwa amani,hivi Ambulance inaruhusiwa kushambuliwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…