Angalia huyu sniper alichofanyia Vifaru vya Urusi. Sniper wanaogopwa, ndo maana Watu wakazusha eti Wali kafariki ili ajitangaze alipo wamshambulie kwa ndege. Akaa kimya hadi akafika Kyiv
Wanajeshi wa Ukraine Frontline wametrka kifaru cha Urusi aina ya BTR-82A. Pamoja na wote walikuwa ndani kufa bahati mbaya, kifaru ni kizima tu na kinaendelea kutumika kuwashambulia Urusi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.