Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Huyu ni askari shujaa alieonyesha ujasiri na ushujaa wa hali ya juu, jamaa licha ya kuuona mtutu wa bunduki aliendelea kutamka maneno ya ushujaa kwa nchi yake Hadi tone lake la mwisho la damu.
Amepewa medali ya ushujaa na mchi yake kwa ujasiri na ushujaa wa kutetea nchi yake.
 
Akirudi kujibu hizi nondo nondo nitag mkuu.

Wameshazoea kulishwa propaganda za kirusi na wagner wanaolazimisha ukraine watangaze kujitoa bakhmut
 
Maswali konki sana.

Inaelekea Maximum capability ya Wagner waliionyesha mwezi wa Pili kuja wa Tatu huko Bakhmut. Yaani uwezo wao kimsingi umegomea hapo.

Na nimesikia kwamba Ukraine imeanza kuwarudisha nyuma mdogomdogo ktk baadhi ya maeneo.

Hadi baadhi ya propagandists ktk TV za Urusi wameanza kuzungumza kuwa ni vigumu julishinda jeshi la Ukraine kwa sababu haliishiwi silaha sababu ya West kuendelea kuimwagia vyombo
 
Ni shujaa wa Ukraine au ni shujaa wa Urusi?? Kwa maneno mengine; aliyefyatua/piga risasi ni askari wa Ukraine au ni askari wa Urusi?
 
Ni shujaa wa Ukraine au ni shujaa wa Urusi?? Kwa maneno mengine; aliyefyatua/piga risasi ni askari wa Ukraine au ni askari wa Urusi?
Huyo jamaa ni matek wa kivita toka Ukraine alipigwa risasi akiiaifia nchi yake na Warusi baada ya kusimama na nchi yake Hadi tone lake la mwisho.
 
Huyo jamaa ni matek wa kivita toka Ukraine alipigwa risasi akiiaifia nchi yake na Warusi baada ya kusimama na nchi yake Hadi tone lake la mwisho.
Hawa wahuni lazima watashikwa hawana akili wamefanya kosa sana kupiga na kushare hiyo video.
 
Ni shujaa wa Ukraine au ni shujaa wa Urusi?? Kwa maneno mengine; aliyefyatua/piga risasi ni askari wa Ukraine au ni askari wa Urusi?
Ile post nilikosea kutoka kwenye chanzo. Online kuna vitu vingi na usipokuwa makini unaweza lishwa matango pori. Huyu ni Mwanajeshi wa Ukraine alipigwa risasi na Wanajeshi wa Urusi baada ya kukataa kutii amri ya kujisalimisha kwa kuweka mikono juu. Alisema Slava Ukraine akapigwa risasi. Alisema hawezi kuwa mateka kwenye nchi yake bora afe. Yaani Mrusi atoke kwake aje nchini mwangu halafu aniite mateka? Haiwezekani. Samahani kwa usumbufu Mkuu🙏
 
Yap! Ni shujaa kweli wa Ukraine; alikataa kuwa mateka nchini kwake. 💪
 
RiP Dmytro Kotsyubailo 🕯️. Hii vita imeondoka na wapambanaji aisee! Dah! Alikuwa kamanda wa kikosi cha 67th brigade, alikuwa anajiita "Da Vinci", ndo aka yake.
View attachment 2542060
View attachment 2542062
Alikuwa ni kamanda kijana mwenye morali wa kuipigania nchi yake muda wote. Aliwafànya wanajeshi wenzake kwenye Batalian aliyokuwa anaiongoza wawe na morali sana.
 
Alikuwa ni kamanda kijana mwenye morali wa kuipigania nchi yake muda wote. Aliwafànya wanajeshi wenzake kwenye Batalian aliyokuwa anaiongoza wawe na morali sana.
Wahenga walisemaga"Chema hakidumu" Lakini huyu amatoa mchango wake katika ukombozi wa nchi ya Ukraine na kuukataa ubeberu.Wewe Je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…