figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #11,841
Wanaangalia Drone kwa huruma kweli πππ
Kafumuliwa kende πππ
Daaa Kafa kifo kibaya sana huyu mshenzi......upande aliokimbilia ndio moto ulipo
Nungunungu wanachomolewa kwenye mashimo. πππ
Hawa wanalipwa cash. Wanavuna matunda ya uvamizi na kuua watu wasio na hatia.
Mrusi kashindwa kabisa kupenya Vuhledar[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Vijana wa Ukraine hawalali
View attachment 2542752
Njia mbadala ya kuvuka. Bakhmut
View attachment 2542858