Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Naona wamepunguza idadi. Inatakiwa wazidi🤣🤣Jeshi la Ukraine limesema jana pekee limeua Warusi zaidi ya 500. Hii ni takriban Batalion 1
Hey! Huyo nungunungu kama yu hai, cjui kama boxer bado ni safi.
Kati ya wanajeshi wa Wagners 45,000 walipungua hadi 7,000, wengine waliuliwa, jeruhiwa au kukamatwa.. Ndo maana wameondoka Bakhmut1. Wagner baada ya kuona kuna defense ngumu kuvuka mto Bakhmut kwa mashariki na kushindwa ku break frontline ya Ukraine kwa upande wa kaskazini mwa Bakhmut. Wameondoka na kuwaacha wanajeshi wa jeshi la Urusi.
2. Wagner Tarehe 9/03/2023 walienda kuanzisha offensive kusini magharibi mwa Bakhmut kuelekea Kostyantynivka. Walifanikiwa ku advance lakini wamethibitiwa.
3. Wanajeshi wengi wanaouawa kaskazini mwa Bakhmut ni wa jeshi la Urusi. Wagner wameona ngoma nzito wataisha wamewaachia wanajeshi wa Russia.
Hongera kwa dereva - kavusha "mtambo". Nimeona jinsi Washenzi wale wauaji Wagner's walivyotembezewa kichapo nimefurahi sana. Sasa ngoja dude hilo liwafikie warusi masalia waliopo manake nasikia Wagners waliobahatika kutouawa wametimua vumbi na kuwaachia msala Warusi OG huko Bakhmut.
Shenzi kabisa. Wangesubiri-subiri kidogo au kujishauri wangeliishawote. Huyo Prigozini (Kiongozi wa Wagner) kama ataishi ; hatokaa aisahau Ukraine kwa mtiti aliokutana nao kutoka kwa wanaUkraine. 💪 💪 🔨 Mzee mwenyewe anaonekana umri umeenda kwa sasa anaishi "kwa mkopo" au tuseme Salio limeisha. Amewatosa vijana wengi sana akiwepo Mangi (mTz) mmoja.Kati ya wanajeshi wa Wagners 45,000 walipungua hadi 7,000, wengine waliuliwa, jeruhiwa au kukamatwa.. Ndo maana wameondoka Bakhmut
View attachment 2548047
Siku zote nasema huyu shetani hayuko normal. Ana bonge la depression na lazima unavuta unga. Mwili mzima umejaa damu za watu wasio na hatia. Huenda akafa kabla vita hii haijaisha. Muda utaongea.Kati ya wanajeshi wa Wagners 45,000 walipungua hadi 7,000, wengine waliuliwa, jeruhiwa au kukamatwa.. Ndo maana wameondoka Bakhmut
View attachment 2548047
Hao majamaa kumbe wamekimbia?. Ni glory hunter hao wanapigana ili wapate sifa. Na wangeisha pumbavu zaoKati ya wanajeshi wa Wagners 45,000 walipungua hadi 7,000, wengine waliuliwa, jeruhiwa au kukamatwa.. Ndo maana wameondoka Bakhmut
View attachment 2548047
Habari njema, kuna mahali nilisoma taarifa inasema kuwa Wagner wanashikiria 90% ya mji wa Bakhmut.1. Wagner baada ya kuona kuna defense ngumu kuvuka mto Bakhmut kwa mashariki na kushindwa ku break frontline ya Ukraine kwa upande wa kaskazini mwa Bakhmut. Wameondoka na kuwaacha wanajeshi wa jeshi la Urusi.
2. Wagner Tarehe 9/03/2023 walienda kuanzisha offensive kusini magharibi mwa Bakhmut kuelekea Kostyantynivka. Walifanikiwa ku advance lakini wamethibitiwa.
3. Wanajeshi wengi wanaouawa kaskazini mwa Bakhmut ni wa jeshi la Urusi. Wagner wameona ngoma nzito wataisha wamewaachia wanajeshi wa Russia.
Hahaaa.Na mbado. Atalinywa kama alivyoligema. Alidhani Ukraine ni kama ilivokuwa huko Afrika ya kati na kwingineko . Mkataba alioingia baina yake na Urusi wa kuwaua raia wanaUkraine kwa tamaa ya kupata fedha nyingi sasa utamtokea puani.Siku zote nasema huyu shetani hayuko normal. Ana bonge la depression na lazima unavuta unga. Mwili mzima umejaa damu za watu wasio na hatia. Huenda akafa kabla vita hii haijaisha. Muda utaongea.
Ukraine inapeleka watu huko, hao walioko mjini watazunguukwa, wakatiwe supplies, mwishowe wajisalimishe wenyewe au nao iwe zamu yao kupelekewa artillery kwenye magofu yote watakayokuwa wamejificha.Habari njema, kuna mahali nilisoma taarifa inasema kuwa Wagner wanashikiria 90% ya mji wa Bakhmut.
Soma pia na Taarifa za mahali pengine halafu ulinganishe ili kuweza kupata uhalisia. e.g. Taarifa nyingine zimeelezea kwamba Wagners wameondoka Bakhmut baada ya askari wake kuuawa kwa wingi mno na kuwaacha askari wa Urusi ............Habari njema, kuna mahali nilisoma taarifa inasema kuwa Wagner wanashikiria 90% ya mji wa Bakhmut.