kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 14,239
- 15,876
Slava Ukraine [emoji1255]Bakhmut ni Ukraine. Haijalishi Wavamizi waiteke, wataondoka tu. Slava Ukraine
View attachment 2556821
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Slava Ukraine [emoji1255]Bakhmut ni Ukraine. Haijalishi Wavamizi waiteke, wataondoka tu. Slava Ukraine
View attachment 2556821
Slava Ukraine [emoji1255]Urusi wanapoteza wanajeshi 1,500 kwa siku huko Bakhmut. Uchache wa wa Wanajeshi wa Ukraine unatukost. Ukraine nchi ndogo... So hula kutokana na kamba. Hata hivyo imenitahidi sana kuipambania Ukriane kwa miezi 10 usiku na mchana. Slava Ukraine
View attachment 2556835
Sasa huu ndio uharibifu wa silaha kumbe. Mtu mshatupa hati mabomu mnapiga risasi za nini si muingie kwenye handaki sasa 😀😀😀Wagners wamegoma kutoka kwa handaki🤣🤣
View attachment 2557407
Katoa mlio kama wa nguruwe pori naona risasi zimempata huko shimoni kisawasawa. 😂😂😂Wagners wamegoma kutoka kwa handaki🤣🤣
View attachment 2557407
Putin kabadirisha lini waziri wake wa mambo ya nje. Hii imenipitaUrusi kupitia Waziri wake wa Mambo ya nje, Zakharova ameiomba Ukraine na Umoja wa Ulaya kumaliza Mtafaruku wa Ukraine kwa njia ya Diplomasia. Ameomba kuondolewa vikwazo ambavyo Urusi imewekewa pia ameomba Putin afutiwe kesi ICC huko The Hague.
View attachment 2557717
Nadhani Maria ni Msemaji wa Wizara. Cheo chake ni Director of the Information and Press Department of the Ministry of Foreign Affairs of the Russian Federation. Na anayoongea ndo msimamo wa Wizara/Waziri wa mambo ya nje. Vyeo vyao wanavijua wenyewePutin kabadirisha lini waziri wake wa mambo ya nje. Hii imenipita