figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #12,261
Angalia maganda ya risasi yalivyotapakaa Frontline ya Ukraine. Urusi walipelekewa moto hadi basi. Hapa Mrusi hakusogea mbele hata hatua moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti Ukraine ataishiwa risasi. Thubutu 💪 🔨.Angalia maganda ya risasi yalivyotapakaa Frontline ya Ukraine. Urusi walipelekewa moto hadi basi. Hapa Mrusi hakusogea mbele hata hatua moja
View attachment 2559415
Adui(Mrusi)Na ashindwe milele. Hongera sana wapiganaji wa Ukraine- mpo imara kuitetea ardhi ya nchi yenu.Msemaji wa Kamandi ya mashariki ya Ukraine asema adui ameshindwa kuuteka mji wa Bakhmut
Tarehe 19/03/2023 Wagner walifanya offensive tatu (3) na walifanikiwa kusonga mbele (advance) kama ifuatavyo;Waukraine walipiga counter offensive ndogo huko Bakhmut kuwarudisha nyuma warusi. Warusi wafa kama kuku
View attachment 2558901
Kwa hali mbaya aliyo nayo Putin, mimi sitashangaa kuipigia magoti china. China ndo taifa pekee lenye uchumi mkubwa kuweza kumsaidia kijeshi na kumpa raw materials ya kutengenezea silaha. Hii vita ikifika December Russia itakuwa na hali mbaya. Vita hii ali undermine, alifikiri atachukua Ukraine kama ilivyochukua Crimea.Inadaiwa Putin kampigia Magoti rais wa China. Bado sijafuatilia kama picha imetengenezwa
View attachment 2559692
Teh teh 😂😂 sio rahisi hivyo...Inadaiwa Putin kampigia Magoti rais wa China. Bado sijafuatilia kama picha imetengenezwa
View attachment 2559692
Slava Ukraine [emoji1255]Wagners wamechokoza moto wenyewe Bakhmut. Mazoezi[emoji1787]
View attachment 2559381
Slava Ukraine [emoji1255]Bakhmut. Wagners wanajuta
View attachment 2559391
Kweli sio rahisi hivyo lakini inawezekana ikiwa atakuwa amebanwa mbavu kama chatu anavyombana mbwa. Hebu fikiria: Putin, Mamluki aliowakodi (Wagner) pamoja na mbwembwe zao lakini bado hawajafanya la maana bali wanateketea mno wengi; Putin anayo RB ya ICC- kwa maana hiyo hawezi kutoka kwenda mbali zaidi ya nyumbani au kwa majirani marafiki au makoloni yake; Miundombinu ya umeme imeanza kushambuliwa na maadui walio ndani ya Urusi; Putin anajua kwamba siku Ukraine akipata silaha alizohitaji itakuwa ndo mwisho wake; lakini zaidi Putin anajua kwa uhakika hiyo vita haitakaa iishe kama hataondoka katika maeneo ya ardhi ya Ukraine. Mwisho Putin analiona DENI kubwa litakalomkabili la kulipa fidia kwa Uharibifu alioufanya huko Ukraine ilhali uwezo alokuwa nao ameshautumia vibaya kwenye vita ya kipuuzi.Teh teh 😂😂 sio rahisi hivyo...
Slava Ukraine [emoji1255]Angalia maganda ya risasi yalivyotapakaa Frontline ya Ukraine. Urusi walipelekewa moto hadi basi. Hapa Mrusi hakusogea mbele hata hatua moja
View attachment 2559415
Na Baada ya mazoezi hayo magumu, kitakachofuata ni Utekelezaji kiuhalisia. Wagner watasakwa na watafinyangwa-finyangwa kama ugali wa dona. We subiri tuu. Yajayo yanafurahisha zaidi.Wagners wamechokoza moto wenyewe Bakhmut. Mazoezi🤣
View attachment 2559381
Prigozhin analialia, anaiomba Wizara ya Ulinzi ya Urusi isaidie maana Ukraine wanakusanya nguvu kupiga counter offensive ya Nguvu sana Bakhmut.