Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Sasa hapa ndo mbinu za kivita Huwa zinatumikaga .Hutaamini kitakachotokea lakini amini mzigo utawafikia Azov muda wowote .Kuna watu Wana elimu za kivita kufanya kazi kwenye mazingira ambayo akili ya kawaida ni ngumu kuamini.Special force's kutoka Israel na USA ndo wanampeleka huo mzogo kwa kujam mawasiano ya Warus kwanza,mkuu kesho ni siku ya furaha Sana kwa sisi wapenda haki .

Sent using Jamii Forums mobile app
Dan Yupo Mariupol, kama kesho akituma Text, nitajua mzigo umefika. Leo wanazima vifaa vyote vya internet ili wasiweze onekana. Wakina Nance Washasepa. Kumbe masniper ni kama Komando tu. Hajakamatwa. Labda gari imuishie mafuta
 
Piga hesabu hapa. Usiwekw vifaru na Ndege nchi za magaribi zilizoleta
IMG-20220420-WA0010.jpg
IMG-20220420-WA0009.jpg
 
Sasa hapa ndo mbinu za kivita Huwa zinatumikaga .Hutaamini kitakachotokea lakini amini mzigo utawafikia Azov muda wowote .Kuna watu Wana elimu za kivita kufanya kazi kwenye mazingira ambayo akili ya kawaida ni ngumu kuamini.Special force's kutoka Israel na USA ndo wanampeleka huo mzogo kwa kujam mawasiano ya Warus kwanza,mkuu kesho ni siku ya furaha Sana kwa sisi wapenda haki .

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea kweli Mkuu, Wanajeshi 500 wameondolewa Kwenye Mahandaki. Wametumiwa APCs wakatokea Njia ya Baharini. Ila bado wapo Mariupol
 
APC(Armoured personnel carrier) ni vifaru fulani vifupi cha kubeba Wanajeshi kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Vimemwagwa pale kama 100. Kukikucha Urusi watashangaa wametorokwa vipi, Walijua leo Watajisalimisha. Ilikiwa Pori kwa pori. Vilikuwepo Vikosi Viwili. Kikosi cha Azov na Kikosi cha Marines. Marines walikuwa hawatajwi sababu walikuwa ni kwaajili ya backup. Na ndo Wamepokea Mzigo.
800px-GTK_Boxer_Fuehrungsfahrzeug_front.jpg
 
Nawapongeza 36th Marine Brigade kwa kazi nzuri. Kutorosha Watu 500 ndani ya saa moja na nusi si kazi ndogo. Azov wamesema Wanarudi kuutetea Mji.
20220421_025803.jpg
 
Nacheka, jana Urusi walivyokuwa wanawashambulia Azov kwa mbali kisa wamekataa kujisalimisha. Hahahaaa...!! Sasa ni zamu yao. Urusi watauhama Mji wa Mariupol.
 
Haya Magari mawili aina ya BM-27 Uragan multiple rocket launcher systems ya Urusi, yameharibiwa na kutekwa. Urusi akili zao wameziset kwamba Ukraine ni Kuingia na kuteka. Miezi Miwili sasa hawajateka hata Mikoa Mikoa 3 kati ya 24 ya Ukraine. Wanachojua ni kubomoa, nyumba, miundombinu, wizi wa vitu kama TV Pasi, Mafriji na kubaka.
 
Gari la Ugavi la Urusi. Utadhani limetengenezwa kwa makaratasi.
 
Azov wameanza kuwafundisha mambo ya Jeshi na ukakamavu watoto wadogo wote wa kike na kiume wenye umri kuanzia miaka 13. Ili wahakikishe Wanailinda Nchi wakikua na Wahakikishe Wanaulinda na kuutetea mji wa Mariupol hata wakizeheka. Wanapanda mbegu. Labda Urusi waue watu wote. But Mariupol hawawezi kaa wala kuiongoza. Wanatua silaha za moto sio mbao za mgambo wetu.
20220421_060613.jpg
20220421_060616.jpg
20220421_060619.jpg
 
Angalia Watalii wa Urusi waliokuja Ukraine wamechoka na wamelala
20220421_062410.jpg
20220421_062455.jpg
 
Baba yako alienda Vitani Ukraine akafia huko.

Mtoto: Ukraine iliwakosea nini Urusi?

Mrusi: Tulitaka kuionesha dunia sisi ni wababe na tukipigwa risasi zinageuka maji. Tulitaka Dunia ijue tunaweza kuiteka Ukraine yote ndani ya Siku tatu. Tulitaka dunia ijue Ukraine haina uwezo wa kuteka wala Kulipua hata kifaru chetu kimoja cha Jeshi.

Mtoto: Ikawaje?

Mrusi: Ilituchukua miezi Miwili kuuteka Mji mdogo wa Mariupol ambao upo KM 1000 kutoka Moscow.

Mtoto: Ikawaje?

Tulikanyagwakanyagwa.

20220421_064810.jpg
 
APC(Armoured personnel carrier) ni vifaru fulani vifupi cha kubeba Wanajeshi kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Vimemwagwa pale kama 100. Kukikucha Urusi watashangaa wametorokwa vipi, Walijua leo Watajisalimisha. Ilikiwa Pori kwa pori. Vilikuwepo Vikosi Viwili. Kikosi cha Azov na Kikosi cha Marines. Marines walikuwa hawatajwi sababu walikuwa ni kwaajili ya backup. Na ndo Wamepokea Mzigo.
View attachment 2194756
Mkuu pamoja Sana na ukicheki hii vita ni kama Kuna kutambiana flani hivi Yani Kila upande unamuonyesha mwenzake kwamba Mimi ni zaidi yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzetu Mariupol wana hali ngumu. Makombora, Risasi madawa, Vimewaishia. Leo wanapigana Vita ya Mwisho. Kuna Mzigo umetoka Marekane.. Tukibahatika usiku ukaingia tushukuru Mungu. Usipoingia kesho hamna Vita Mariupol. Ukiacha Wanajeshi, tuna Wapishi, Madakitari, Wahandisi, Mafundi wa umeme na Mafundi Bomba, Waandishi wa habari na IT. So Kikosi cha Azov kisipopata Silaha leo, wapo watakaokufa, kutoroka na wengine watakekwa. Leo sina raha kabisa. Wapo wanajeshi wa kujitolea kutoka Marekani na Uingereza.

Hadi Muda huu Urusi Wameshindwa kufika Viwandani Walipo. Mapambano yanaendelea kama kawaida. Ila kesho watazidiwa. Uzuri walishajiandaa na Mahandaki kwa mwezi Mzima. Tangu Tarehe 15 April 2022 Wamegoma kijisalimisha hadi leo.

Azov wamelipua kifaru cha Urusi T-72B
View attachment 2194204
😀😀 taratiiiibu unaanza kuuona ukweli.tutafika tu
 
Mariupol. Kifaru cha Urusi aina ya T-80BV Kimeharibiwa na Azov. Leo Azov wameteketeza Vifaru 4 na Tigr-M mali ya Urusi.
 
Back
Top Bottom