figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #1,221
Dan Yupo Mariupol, kama kesho akituma Text, nitajua mzigo umefika. Leo wanazima vifaa vyote vya internet ili wasiweze onekana. Wakina Nance Washasepa. Kumbe masniper ni kama Komando tu. Hajakamatwa. Labda gari imuishie mafutaSasa hapa ndo mbinu za kivita Huwa zinatumikaga .Hutaamini kitakachotokea lakini amini mzigo utawafikia Azov muda wowote .Kuna watu Wana elimu za kivita kufanya kazi kwenye mazingira ambayo akili ya kawaida ni ngumu kuamini.Special force's kutoka Israel na USA ndo wanampeleka huo mzogo kwa kujam mawasiano ya Warus kwanza,mkuu kesho ni siku ya furaha Sana kwa sisi wapenda haki .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona video hazjonekaniKikosi cha anga cha Ukraine, 59th Motorized Brigade kikiangamiza vifaru vya Urusi kwa kutumia Drone
View attachment 2188422
Umeongea kweli Mkuu, Wanajeshi 500 wameondolewa Kwenye Mahandaki. Wametumiwa APCs wakatokea Njia ya Baharini. Ila bado wapo MariupolSasa hapa ndo mbinu za kivita Huwa zinatumikaga .Hutaamini kitakachotokea lakini amini mzigo utawafikia Azov muda wowote .Kuna watu Wana elimu za kivita kufanya kazi kwenye mazingira ambayo akili ya kawaida ni ngumu kuamini.Special force's kutoka Israel na USA ndo wanampeleka huo mzogo kwa kujam mawasiano ya Warus kwanza,mkuu kesho ni siku ya furaha Sana kwa sisi wapenda haki .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pamoja Sana na ukicheki hii vita ni kama Kuna kutambiana flani hivi Yani Kila upande unamuonyesha mwenzake kwamba Mimi ni zaidi yako.APC(Armoured personnel carrier) ni vifaru fulani vifupi cha kubeba Wanajeshi kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Vimemwagwa pale kama 100. Kukikucha Urusi watashangaa wametorokwa vipi, Walijua leo Watajisalimisha. Ilikiwa Pori kwa pori. Vilikuwepo Vikosi Viwili. Kikosi cha Azov na Kikosi cha Marines. Marines walikuwa hawatajwi sababu walikuwa ni kwaajili ya backup. Na ndo Wamepokea Mzigo.
View attachment 2194756
😀😀 taratiiiibu unaanza kuuona ukweli.tutafika tuWenzetu Mariupol wana hali ngumu. Makombora, Risasi madawa, Vimewaishia. Leo wanapigana Vita ya Mwisho. Kuna Mzigo umetoka Marekane.. Tukibahatika usiku ukaingia tushukuru Mungu. Usipoingia kesho hamna Vita Mariupol. Ukiacha Wanajeshi, tuna Wapishi, Madakitari, Wahandisi, Mafundi wa umeme na Mafundi Bomba, Waandishi wa habari na IT. So Kikosi cha Azov kisipopata Silaha leo, wapo watakaokufa, kutoroka na wengine watakekwa. Leo sina raha kabisa. Wapo wanajeshi wa kujitolea kutoka Marekani na Uingereza.
Hadi Muda huu Urusi Wameshindwa kufika Viwandani Walipo. Mapambano yanaendelea kama kawaida. Ila kesho watazidiwa. Uzuri walishajiandaa na Mahandaki kwa mwezi Mzima. Tangu Tarehe 15 April 2022 Wamegoma kijisalimisha hadi leo.
Azov wamelipua kifaru cha Urusi T-72B
View attachment 2194204
sasaivi taratiibu anaanza kukubali kwamba wamezidiwa.tumpe muda na mbio za peke yakeHizi Propaganda bhana[emoji4]View attachment 2194333
hii picha ni ya muda mrefu mkuu.Hakuna aliyetekwa, Hakuna aliyeuawa, hakuna aliye jisalimisha. 500 wameretreat salama. Azov nimewakubali. Mungu ni Mwema
View attachment 2194765