Angalia Magari ya Jeshi ya Urusi yalivyoteketezwa. Nimeshindwa kuhesabu. Silaha zao tumejibebea. Hakika leo ni Alhamisi Kuu. Jumamos, tunawapa dawa tena Urusiπ€£π€£
Ukraine wamefanikiwa kuuwa Wavamizi zaidi ya 200 Mashariki mwa Ukraine tu.
Vifaa vyao vilivyoharibiwa ni pamoja na;
βͺοΈ5 Vifaru
βͺοΈ2 BMP(Magari ya kubebea Askari)
βͺοΈ1 APC(Kubebea wafanyakazi wa kivita)
βͺοΈ1 artillery system
βͺοΈ9 Magari ya Mizigo
βͺοΈ1 Ndege
βͺοΈ3 UAVs(Hizi ni zile drone nilizopost hapa.