Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Imegundulika Putin anaumwa sana, ndo maana haonekani hadharani. Tulikuwa tunaangalia Video alipokuwa anadanganywa eti Mariupol imetekwa. Ile Video ukaangalia kashikilia meza kama egemeo mwanzo mwisho. Hajitikisi yaani utafikiri kachorwa. Atakuwa mgongo, shingo kiuno au nyonga havipo sawa. Adui muombee kifo
20220422_191231.jpg
 
Pro Urusi wanadai Mariupol wameiteka yote. Hapa wanapambana na nani? Achana na Azov. Jamaa ni Shida
 
Urusi: Kituo kingine kikuu cha utafiti wa Rocket na Spacecraft kinawaka moto Mjini Korolyov

Hiki ndo kituo kikuu cha Russian Space Agency (Russian NASA) Roskosmos. Vituo viwili vimekwenda na maji.
 
Jana sikupost hii:

Urusi: Kiwanda kikubwa cha Kemikali cha Dmitrievsky, kililipuliwa, kilikuwa muuzaji mkuu wa propellants kwa jeshi la Kirusi. Ni umbali wa maili 250 Mashariki mwa Moscow. Wahujumu wa Urusi walijua nini cha kupiga.
 
Orlan-10 reconnaissance UAV ya Urusi ilivyoangushwa na Askari wa Ukraine kwa kutumia Silaha ya Uingereza aina ya LMM Martlet multirole missile
 
Helkopta ya Urusi KA-52 imeangushwa na jeshi la anga la Ukraine. Ilikuwa ikisindikiza msafara wa Urusi.
 
Hii ndo convoy ya Urusi iliyoteketezwa Mkoani Kherson. Hapo inaonekana BMP-2 . A K-53949 Linza ambulance , BTR-82A APC na MT-LB
 
Kama umapenda kujua ni jinsi gani Urusi wanapoteza, usichoke angalia hii Video. Wavamizi wamekukufilia mbali
 
Hapa ni Rubizhne mkoani Luhansk. Urusi walificha Vifaru katikati ya nyumba. Drone ya Ukraine ikaviona.
 
Vifaru Viwili vya Urusi vimelipuliwa Izyum. Aina ya T-72B3. Hivi ni vifaru vya Gharama. Siku ya Uhuru huwa. Aona Tanzania wanaonesha Umma na Dunia Vifaru aina ya T-72. Vifaru vya T-72 vilitengenezwa kuanzia mwaka 1969. Ndo vile vya vita ya Kagera
 
Sasa hivi Urusi wana Vifaru vipya aina ya T-14 Armata MBT. Gharama yake kimoja ni kuanzia Tsh 7 Bilioni kuendelea. Havijaja Ukraine, Naona watauzia nchi zenye Vita mfano Syria, Libya na Vikundi vya Kigaidi. Sasa hivi Ukraine, Urusi wanatumia vifaru vingi Generation ya T-72.

Tulitegemea wavitumie Donbas na Mariupol lakini waligoma kuvileta. Tusingevilipua, ilikuwa ni kuviteka tu. Vitusaidie kujilinda

Hii ndo T-14 Armata MBT
VDayRehearsal05052016-28.jpg
9may2015Moscow-02_(cropped).jpg
4mayrehearsal_09.jpg
Alabino220415part2-09_(cropped).jpg
Alabino220415part2-12.jpg
 
Poland wanaleta mzigo
 
Tulikuwa tunajiuliza, kwanini Urusi Vifaa vyao havina shabaha? Vinaishia kubomoa majengo na Miundombinu? Tukagundua ni vifaa vya zamani.

Mtaalam wa Vifaa vya electronic wa Ukraine, amegundua vifaa vya elektroniki katika Х-55, Х-555, na Х-101 na akabaini kuwa ni vya miaka ya 60-70. Sehemu ya navigation yaPGI-2М ni ya kutoka 1977. Ndiyo sababu makombora hayapigi shabaha. Wanataka kugeuza Ukraine dampo la Vifaru vyao au? Sababu tushatekeza Vifaru tu zaidi ya 800.
20220422_231348.jpg
20220422_231350.jpg
 
Nimeshangaa. Urusi waliwaweka watoa Maamuzi na maelekezo wote sehemu Moja Mkoani Kherson. Matokeo yake Comand Post waliokuwepo wote wamekufa wakiwemo Viongozi wao 50. Hongera Ukraine.
20220422_232648.jpg
 
Back
Top Bottom