Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Huu ndo mji tulivu wa Kitalii Odessa
Urusi wana wivu, wanachofanya ni kubomo majumba na kuharibu miundombinu halafu wanajiaifu na kushangilia. Haya ni makazi ya watu. Kwanini hawashambulii kambi za jeshi?
 
Ile cruise missile "X-101" niliyosema imepita kama ndege, ilikuwa inaenda kutua hapa kwenye makazi ya watu
Nia wabomoe hili jengo. Kila majengo mazuri Urusi wanayabomoa. Madaraja, vyanzo vya maji, vyanzo vya umeme. Leo wameenda kuiba chakula kwenye gala la nafaka la Taifa, wakapeleka Urusi. Jana wameiba Matreka ya Wakulima wakubwa mashambani wakapeleka Urusi
 
Urusi wamebeba hifadhi yote ya chakula Mkoani Kherson na wamepeleka Urusi.
20220423_232434.png
 
Huwa najaribu kuwaza kama Ukraine asingekua anapata misaada mbalimbali ya silaha na majeshi wangekua katika hali gani hadi sasa[emoji848]
 
Hapa ni Kherson, Urusi wanaingia kwenye nyumba za watu, maduka, supermarket na kuiba vyakulana kupeleka kwao Urusi. Wamekuja vitani au wamekuja kuiba? Wanabeba Magari, pikipiki za wananchi
 
Urusi wamebeba nafaka zote mkoani Kherson. Kuanzia Ngano na kila kitu. Magari yanapeleka Urusi. Nasikia watawauzia Egypt
20220423_233344.jpg
20220423_233338.jpg
20220423_233306.jpg
20220423_233250.jpg
20220423_233233.jpg
20220423_233218.jpg
20220423_232434.png
 
Urusi ni wezi. Na mashabiki wa Urusi wanafurahia wizi
20220423_234713.jpg
20220423_234451.jpg
20220423_234421.jpg
20220423_234418.jpg
20220423_234415.jpg
20220423_234411.jpg
20220423_234359.jpg


20220423_234202.jpg


20220423_234059.jpg


20220423_234024.jpg


20220423_234012.jpg


20220423_234009.jpg
 
Hii foleni unayoiona hapa ni mpakani mwa Poland na Ukraine. Wananchi wa Ukraine wanarudi nyumbani kupiginia nchi yao. Silaha zipo
20220423_235242.jpg
 
Urusi wameshindwa kuiteka Mariupol. Wameanza kuondoka. Kamanda wa Urusi aliyepo Mariupol anaweza badilishwa. Kaulizwa, ndege imewezaje kuleta silaha kwa Azov na Msiione? Azov wameanza jifunza kutumia Silaha mpya. Jumatatu kitanuka.. Urusi kila siku inapoteza Wanajeshi Mariupol. Miezi miwili imeisha bila kusogea. Kijeshi huwezi kutangaza kuteka sehemu ambayo bado kuna kurushiana risasi. Putin alidanganywa.
skynews-mariupol-pro-russian-troops_5748439.jpg
 
Azov wanakuja kivingine. Urusi wanatetemeka. Azov wameongezewa Silaha. Na leo Ujerumani inawapelekea Silaha. Huu mtanange si mchezo. Kuanzia Juzi, Urusi imeanza kuwakimbiza wanajeshi wake kwa kuwaondoa Mariupol. Leo wamekufa Warusi zaidi ya 48 Mjini Mariupol. Azov moto wa kuotea mbali. Makomandoo. Azov mmoja ni sawa na Warusi 100.
 
Pumzika kwa amani Doctor wetu wa Mariupol Tetiana Kushnir. Utakumbukwa daima. Kombora la Urusi limeondoka na roho ya Tetty😭😭. Ni mwanajeshi wa Azov tulimtambua kama Dr Olena.
20220424_011609.jpg
Screenshot_20220424-012428.png
Screenshot_20220424-012504.png
 
Baada ya siku nane, hatimaye Urusi wamekubali na kutubu kwamba ile Meli aina ya Moskva ilipopigwa kombora 14 April 2022,ni kwamba Mabaharia 28 Walikufa na wengine 27 hawajulikani walipo. Meli inadaiwa ilikuwa na watu 500.
20220424_013358.jpg
 
Nyenyenyenye Azov wafie kwenye handaki. Leo wamelipua kifaru cha Urusi aina ya T-72B3. Makomando sio sungusungu. Watamaliza mmoja mmoja
 
Back
Top Bottom