figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #1,341
Huu ndo mji tulivu wa Kitalii Odessa
Urusi wana wivu, wanachofanya ni kubomo majumba na kuharibu miundombinu halafu wanajiaifu na kushangilia. Haya ni makazi ya watu. Kwanini hawashambulii kambi za jeshi?
Urusi wana wivu, wanachofanya ni kubomo majumba na kuharibu miundombinu halafu wanajiaifu na kushangilia. Haya ni makazi ya watu. Kwanini hawashambulii kambi za jeshi?