Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hii vita Urusi hatoboi. Ukriane ina Mikoa 28, lakini Urusi inayolewa Jasho na Mikoa 4 hadi sasa hivi mwaka mzima. Kabla ya Vita walijitapa Ukraine itatekwa ndani ya masaa 72 kwasababu ni ndogo. Lakini sasa mwaka umeisha na miezi. Hakuna wanapomiliki 100% kwenye hiyo Mikoa Minne.

Leo Syrsky katembelea tena Bakhmut.
View attachment 2607574
Mkuu; Kuna tofauti kubwa sana katika kupigana ili udhulumu/uchukue kitu au mali kwa nguvu na kupigana ili uilinde mali na uhai wako. Anayepigana kulinda mali na uhai hupigana kufa na kupona bali yule anayepigana ili adhulumu hutanguliza maslahi binafsi zaidi.
 
Mkuu; Kuna tofauti kubwa sana katika kupigana ili udhulumu/uchukue kitu au mali kwa nguvu na kupigana ili uilinde mali na uhai wako. Anayepigana kulinda mali na uhai hupigana kufa na kupona bali yule anayepigana ili adhulumu hutanguliza maslahi binafsi zaidi.
Ndo maana wamewatanguliza Wagners. Mariupol wanapakia chuma na kupeleka Urusi. Soledar wanachukua Chumvi wananapeleka Urusi. Wanajeshi wanaiba kwenye maduka, majumba na Sehemu za Starhw7. Wanaiba pasi hadi Mashine za kufulia.

Hii chopa ya Urusi ililipuliwa Ukriane, ikakutwa imwbeba mashine za kufulia badala ya Makombora
IMG_20230502_203225_987.jpg
20230502_203100.jpg
 
Ndo maana wamewatanguliza Wagners. Mariupol wanapakia chuma na kupeleka Urusi. Soledar wanachukua Chumvi wananapeleka Urusi. Wanajeshi wanaiba kwenye maduka, majumba na Sehemu za Starhw7. Wanaiba pasi hadi Mashine za kufulia.

Hii chopa ya Urusi ililipuliwa Ukriane, ikakutwa imwbeba mashine za kufulia badala ya Makombora
View attachment 2607652View attachment 2607649
Dah! Mrusi bhana- anajidhalilisha mno. Hata mashine ya kufulia ya wizi inabebwa kwa kifaru!!!!!?
 
Back
Top Bottom