Mkuu; Kuna tofauti kubwa sana katika kupigana ili udhulumu/uchukue kitu au mali kwa nguvu na kupigana ili uilinde mali na uhai wako. Anayepigana kulinda mali na uhai hupigana kufa na kupona bali yule anayepigana ili adhulumu hutanguliza maslahi binafsi zaidi.Hii vita Urusi hatoboi. Ukriane ina Mikoa 28, lakini Urusi inayolewa Jasho na Mikoa 4 hadi sasa hivi mwaka mzima. Kabla ya Vita walijitapa Ukraine itatekwa ndani ya masaa 72 kwasababu ni ndogo. Lakini sasa mwaka umeisha na miezi. Hakuna wanapomiliki 100% kwenye hiyo Mikoa Minne.
Leo Syrsky katembelea tena Bakhmut.
View attachment 2607574
Ndo maana wamewatanguliza Wagners. Mariupol wanapakia chuma na kupeleka Urusi. Soledar wanachukua Chumvi wananapeleka Urusi. Wanajeshi wanaiba kwenye maduka, majumba na Sehemu za Starhw7. Wanaiba pasi hadi Mashine za kufulia.Mkuu; Kuna tofauti kubwa sana katika kupigana ili udhulumu/uchukue kitu au mali kwa nguvu na kupigana ili uilinde mali na uhai wako. Anayepigana kulinda mali na uhai hupigana kufa na kupona bali yule anayepigana ili adhulumu hutanguliza maslahi binafsi zaidi.
Dah! Mrusi bhana- anajidhalilisha mno. Hata mashine ya kufulia ya wizi inabebwa kwa kifaru!!!!!?Ndo maana wamewatanguliza Wagners. Mariupol wanapakia chuma na kupeleka Urusi. Soledar wanachukua Chumvi wananapeleka Urusi. Wanajeshi wanaiba kwenye maduka, majumba na Sehemu za Starhw7. Wanaiba pasi hadi Mashine za kufulia.
Hii chopa ya Urusi ililipuliwa Ukriane, ikakutwa imwbeba mashine za kufulia badala ya Makombora
View attachment 2607652View attachment 2607649
Hahahaaa😀😀😀 U catch the Russian soldier and yet u remain with ur washing machine.
Majamaa wa Urusi kwao wamepinda ile mbaya.Wanakwapua hadi stuli!
Taarifa na orodha kama vinapishana vileDunia nzima wanaounga Mkono uvamizi ya Urusi nchini Ukraine ni Nchi nne tu ambazo ni Armenia, Brazil, Kazakhstan, China. Anayeunga mkono Uvamizi wa Urusi ni Vichaa tu.
View attachment 2606549