Mfa maji haachi kutapatapa. Usupapawa na ubabe vimeishia wapi? 😱Ukisikia mtu (Putin) anaanza kutangazia dunia kwa matukio makubwa hivyo (jana) eti anataka kupinduliwa, ujue kaanza kutepeta. Eti Ukraine inatumiwa na masters wao kutaka kumpindua.
Anatafuta huruma ya wananchi
Kashaanza kuona kuwa vita hii hashindi.Kweli kichwa cha Putin kimejaa tope. Yan muda wote huo (zaidi ya 1yr)alikuwa hajui kwamba nchi yake iko vitani? Sasa ndo anajua alikuwa hajui.
Angekuwa ni mtu wa kushaurika, angeachana na kuwa king'ang'anizi kwenye hayo maeneo ya Ukraine aliyokwapua na ndo hadi sasa yamemgharimu mno.Kashaanza kuona kuwa vita hii hashindi.
1. Missiles na Drones zake sasa zimeanza kutunguliwa. Russia alikuwa anaisumbua Ukraine kwenye mashambulizi ya anga. Sasa anga la Ukraine linaanza kulindwa. Kazi nzuri ya Patriot na IRIS-T inaanza kuonekana.
2. USA ametoka package nyingine ambapo itakuwa na air defense systems most likely more Patriot & IRIS-T baada ya kuonyesha ufanisi kwenye Hypersonic missiles zake.
3. Wagner walichokipata jana Bakhmut hawatakisahau. Pamoja na kwamba juzi 8/05/2023 walifanikiwa kuchukua eneo zaidi lakini wameipata.
Wazee wa Freedom of Russia Legion wapewe maua yaoJana Putin alisema kuwa sasa Russia iko kwenye "Real war". Sababu ya kusema hivo ni kwamba kuna wanajeshi walioko ndani ya Russia wanashirikiana na Ukrainian and west.
Quote
“Today, civilization again is at a breaking point,” Putin said. “Again, a true war has been unleashed against our motherland.” Putin suggested darkerforces are conspiring against Moscow.