Mfa maji haachi kutapatapa. Usupapawa na ubabe vimeishia wapi? 😱Ukisikia mtu (Putin) anaanza kutangazia dunia kwa matukio makubwa hivyo (jana) eti anataka kupinduliwa, ujue kaanza kutepeta. Eti Ukraine inatumiwa na masters wao kutaka kumpindua.
Anatafuta huruma ya wananchi
Mbona hili timbwili kalianzisha mwenyewe?