figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #13,401
Poo baadaye. Watulie kwanza dawa iwaingie sawa sawa.Nasikia huko Avdiivka Vijana kutoka Moscow Urusi wameomba Poo. Hakuna Poo Frontline jamani. Unachagua moja kujisalimisha au kuuliwa. Wao wanaomba poo eti risasi zimeisha🤣🤣🤣
View attachment 2617220
Wabebanana kwenye Trench kama mijusi 😂😂😂Vijana wa Moscow
View attachment 2617225
Labda wamezipeleka field. Mbwembwe zimeshaisha. Wangeweka Tanks, S-400/300 na intercontinental zao wanaume wangezitamani. Wangezishughulikia.Maazimisho ya Mashujaa mwaka huu Urusi yalikuwa ya Kinyonge sana. Mbona hatujaona zile zana za kutisha za kivita? Zimeenda wapi? Nani kazilipua zote? Wametumia kifaru aina ya T-34 tu🤣🤣
View attachment 2617281
Super power wa makaratasi kachoka mapema. Maigizo yote yameisha maana wako kwenye" real war" (true war). Mwanzo alifikiri ni masihala. Kashatepeta 😂😂😂
Slava UkraineKifaru kilianza kwa kukanyaga Bomu, halafu jamaa akakimalizia na AT-rocket
View attachment 2615038
Slava Ukraine [emoji1255]
Slava Ukraine [emoji1255]Freedom of russia legion huko Novosibirsk, wamenyata hadi zilipo egeshwa ndege za jeshi la Urusi wakazitia moto