Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

20230511_013256.jpg
20230511_013258.jpg
20230511_013300.jpg
20230511_013302.jpg
 
Mrusi baada ya kuona kabaki peke yake, ikabidi aiombe msamaha drone. Mara ya kwanza alijaribu kuirushi risasi. Ila ikamuelekeza aifuate hadi wanajeshi wa Ukraine walipo akatiwa kamba mikono nyuma
 
Maazimisho ya Mashujaa mwaka huu Urusi yalikuwa ya Kinyonge sana. Mbona hatujaona zile zana za kutisha za kivita? Zimeenda wapi? Nani kazilipua zote? Wametumia kifaru aina ya T-34 tu🤣🤣
View attachment 2617281
Labda wamezipeleka field. Mbwembwe zimeshaisha. Wangeweka Tanks, S-400/300 na intercontinental zao wanaume wangezitamani. Wangezishughulikia.
 
Back
Top Bottom