Slava Ukraine [emoji1255]Nasikia huko Avdiivka Vijana kutoka Moscow Urusi wameomba Poo. Hakuna Poo Frontline jamani. Unachagua moja kujisalimisha au kuuliwa. Wao wanaomba poo eti risasi zimeisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2617220
Slava Ukraine [emoji1255]
Slava Ukraine [emoji1255]Hawa ndo The Freedom of Russia Legion wanaoisaidia Ukraine kupambana na Urusi ndani ya Urusi
Mashambulizi yao ndani ya Urusi ameongezeka sana. Moto kila kona. Hadi Putin kakiri hawa jamaa ni hatari
View attachment 2617227
Slava Ukraine [emoji1255]Kazi nzuri ya The Freedom of Russia Legion huko Donbas
View attachment 2617229
Kipanya unachekesha sanaDaraja huko Chasiv
View attachment 2611066
Slava Ukraine [emoji1255]The Freedom of Russia Legion wakiwa kazini kambi ya Urusi. Uteketeza ndege zote. Hizi ni SU-24
View attachment 2617230
Slava Ukraine [emoji1255]Kazi ya kupambana na Urusi ni hatari na ngumu, ila ni kazi Muhimu ili kuikomboa nchi isikaliwe kimabavu. Ukoloni wa nchi utawala nchi usbapitwa na Wakati
View attachment 2617247
Slava Ukraine [emoji1255]Tutapambana na Warusi kwa kutumia Silaha yoyote iliyo mbele yetu. Hata kama manati. Muhimu Warusi Warusi kwao
View attachment 2617251
Slava Ukraine [emoji1255]Video ya watu wasiojulikana Wakirusha kamikaze drones, ambayo ilikwenda kulipua Bohari za Mafuta huko Mkoani Krasnodar Nchini Urusi.
View attachment 2617261
Slava Ukraine [emoji1255]Warusi walivyo kimbizwa msitu wa Kreminna
View attachment 2617273
Slava Ukraine [emoji1255]Mrusi baada ya kuona kabaki peke yake, ikabidi aiombe msamaha drone. Mara ya kwanza alijaribu kuirushi risasi. Ila ikamuelekeza aifuate hadi wanajeshi wa Ukraine walipo akatiwa kamba mikono nyuma
View attachment 2617380
Wanaume (USA, German, NATO and allies) wameshaamua kushugulika na Putin mpaka atakapoomba poo. Wanaume wana test mitambo yao kujua Russia ana nguvu kiasi gani (military Power fire).Uingeleza isha anza kupeleka cruise missile Ukraine View attachment 2617830
Naam! Hapo sasa nadhani somo litaeleweka.Uingeleza isha anza kupeleka cruise missile Ukraine View attachment 2617830
Kusogeza Ofisi mbali hakutasaidia. Kilichopo ni Mrusi kuondoka mazima Ukraine. Mrusi aachane na Ardhi ya Ukraine - arudi kwenye ardhi yake halali ya Rusia. Hilo ndo la msingi sana. Vinginevyo asubiri kipondo tu.Wanaume (USA, German, NATO and allies) wameshaamua kushugulika na Putin mpaka atakapoomba poo. Wanaume wana test mitambo yao kujua Russia ana nguvu kiasi gani (military Power fire).
Zikianza kutumika na kusikia kishindo Warusi watatujulisha tu.
Watakuwa wameshajua ndo maana wameanza kusogeza ofisi zao mbali.
Wanajadiliana kwa kina namna nyepesi zaidi ya kulipa deni. Hakuna jinsi.Wabebanana kwenye Trench kama mijusi πππ
Kaongea kwa uchungu sana aiseeMkuu wa Kikosi cha Wagners bwana Prigozhin akimuonesha Putin hasa Warusi, miili ya Wanajeshi wake zaidi ya 116 waliouawa ndani ya siku moja huko Bakhmut. Anataka aongezewe Jeshi na Vifaa.
View attachment 2610531