figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #13,461
Urusi walivyo lipua chopa yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikusahihishe kidogo. Sababu iliyowafanya Russia washindwe kuiteka Kiev mojawapo ni hizi.Fanfa hii vita imenifundisha mambo mengi sana.
Kwanza niliwaza ni kwa nini Russia alifika hadi kwenye viunga vya Kiev lakini akatoka. Nilichokuja kufahamu kuwa alikuja kugundua teknolojia ya vita imebadilika pale misafara yake ya kijeshi ilivyopigwa picha toka angani.
Leo ule "Usupa Pawa" wa kuwa na vifaru na ndege kadhaa za kivita unaonekana hauna maana mbele ya nguvu ya Drone.
Hii vita watu wa NATO wanaitumia kutesti mitambo yao.
Walisema eti imepata hitilafu ikadondoka. Russia wako vizuri kwenye propaganda 😂😂😂Urusi walivyo lipua chopa yao
View attachment 2620307
Afrika kusini 😄😄😂😂..pole yaoNi aibu Urusi kuomba msaada wa Silaha kutoka wanazoita Nchi Masikini za Afrika
View attachment 2619692
Slava Ukraine [emoji1255]
Slava Ukraine [emoji1255]Bakhmut kisiki cha mpingu
View attachment 2619693
Slava Ukraine [emoji1255]Huko Bakhmut kwa mara ya kwanza Urusi wamerudi nyuma, kuretreat baada ya kupelekewa moto. Kaskazini mwa Bakhmut hali si nzuri kwa Vijana wa Urusi. Frontline ua Ukriane imesonga Mbele.
View attachment 2619697View attachment 2619698
Slava Ukraine [emoji1255]Hawa ni 1st rifle battalion of the 93rd separate mechanized brigade wa Ukriane wakiwa wamekamata moja ya eneo lililokiwa limekaliwa kimabavu na Majeshi ya Urusi huko Bakhmut
View attachment 2619701
Slava Ukraine [emoji1255]Vijana wa Moscow wameamua kujisalimisha Bakhmut. Sema hapa hawa wanajeshi wa Ukraine wamekosea. Inatakiwa mkiteka adui, mnamvua kofia ya Chuma na Jaketi ya kuzuia Risasi ili akijaribu kutoroka, popote utakapo piga risasi iingie.
View attachment 2619709
Slava Ukraine [emoji1255]Leo Ukriane wamekomboa 17.3 km² kaskazini mwa Bakhmut
View attachment 2619718
1. Ndiyo maana mimi huwa nasema vita hii haiwezi kuisha mapema sababu mojawapo ni kwamba Ukraine inatumika kama testing field ya military equipment. USA & German wana test Technology zao. Kama zina weakness wataziboresha (Upgrade the software) na kuendelea na testing.
2. Wanaume hawa (German & USA) wakiamua kumaliza vita ndani ya miezi 3 wanaimaliza. Ila wanataka wamjue adui ana nini. Wanajua ana nini ila wanataka ku prove alichonacho kina uwezo gani?
3. German katoa package nyingine ya IRIS-T nne (4), Leopard kadhaa na machine zingine. USA naye hivi karibuni katoa package yenye air defense systems nyingi likely Patriots.
4. Swali nalojiuliza, Russia atahimili wave ya silaha hizi kama amefikia hatua ya kuomba silaha kutoka South Africa?
Slava Ukraine [emoji1255]Urusi leo wamepoteza ndege mbili na Helkopta mbili. Safi sana
View attachment 2620308
Air defense systems zao itakuwa zimekuwa hacked na pengine hawajajua. Wanazirusha zinabutuliwa halafu wanasema zimepata hitilafu ya engine.Urusi leo wamelipua ndege zao nne
View attachment 2620523
Ukisikia kuchanganyikiwa ndo kama hivo.Urusi leo wamelipua ndege zao nne
View attachment 2620523