Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Senior Lieutenant wa Wagners Prokopenko Dmitry Alexandrovich
20230514_190352.jpg
 
Reuters wanaripoti taarifa za madai kuwa Ukraine imeangusha Hypersonic missiles kadhaa leo kwa kutumia Patriot defence system.

 
Reuters wanaripoti taarifa za madai kuwa Ukraine imeangusha Hypersonic missiles kadhaa leo kwa kutumia Patriot defence system.


1. Patriot ni kweli ilifanikiwa ku- intercept baadhi ya missiles.

2. Pia ni kweli walifanikiwa kuipiga Patriot moja. Russia walirusha six (6) hypersonic missiles kwa wakati mmoja kwa kutumia ndege sita (6) tofauti. Missile zote zilikuja kwa wakati mmoja. Ilifanikiwa kuzidaka missile zingine lakini zingine zikapenya na kuiharibu.
 
1. Patriot ni kweli ilifanikiwa ku- intercept baadhi ya missiles.

2. Pia ni kweli walifanikiwa kuipiga Patriot moja. Russia walirusha six (6) hypersonic missiles kwa wakati mmoja kwa kutumia ndege sita (6) tofauti. Missile zote zilikuja kwa wakati mmoja. Ilifanikiwa kuzidaka missile zingine lakini zingine zikapenya na kuiharibu.
Sasa hapo wamewatia hasira wamarekani zaidi kuongeza ulinzi wa anga, maana Marekani ni Taifa la wabishi sana.

May be Waukraine waanze kujifunza kuzificha Patriot batteries, maana kikawaida Patriot huwa haifichwi inakaa wazi tu
 
Back
Top Bottom